"We are Gay and Proud of it" - SAUTI SOL

Du...... aibu
KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO.NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA.NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE.
Maneno haya nayaunga mkono kwa asilimia 100.Lakini viongozi wetu wa karne hii wanadhani kila kitu hakiwezi kufanikiwa bila kwanza kutanguliza fedha na ndio maana rushwa imeota mizizi
 
Jamani wanaume wenzangu,mbona mnatia aibu hata mbele ya Mungu? Naomba sana muachane na hiyo biashara haramu.

Bhebhe Ng'wizukulumbasa hawauzi bhabha, wanatoa bure! Kazi kwelikweli, tuwaangalie sana vijana wetu na tuwape malezi mema toka wadogo, tuepuke kuwachanganya na dada zao wakati wa kulala wasije kuharibikiwa!
 
Last edited by a moderator:
!
!
msondo waliimbaga zamani kwamba....wanaume tumeumbwa mateesoo matesoo kuhangaika, sasa hawa jamaa wamelijua hili so wameamua kuhamia upande ule
 
This business is slowly becoming famous in Africa, South Africa being the leader and (mombasa)?? Kenya!? Being the next??
 
Nyimbo nzuri sana,bonge la video...nilikuwa sijui kama ndo waliimba na ile "soma kijana"
Ushoga ni wa kwao,mimi napenda gud muzics wanayofanya...Period

thats what i usually say, I love their music not their sexual orientation. They are adults and free to chose which team they are batting for.
 
Back
Top Bottom