brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Msanii diamond platnumz na lebal yake ya WCB wamelipwa dola milioni 1 sawa na Tsh.bilioni 2 na campany ya Universal Music Group ili kusambaza nyimbo zao kote duniani kote.
Diamond asema ndo msanii pekee Tanzania na label yake wamelipa kodi milioni 35 TRA.
Amesema kulipa kodi ni jambo na wajibu wa kila mtanzania.
Diamond asema ndo msanii pekee Tanzania na label yake wamelipa kodi milioni 35 TRA.
Amesema kulipa kodi ni jambo na wajibu wa kila mtanzania.