PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,226
- 17,804
Duuuuu..guitar???
Man usicheze na TRA hata ukimuagizia mtu simu ya mkononi tu kupitia posta kama inatoka nje ya nchi basi ujue hiyo kodi yake itakuwa kainunua Mara mbili.
Duuuuu..guitar???
Ni mikataba 2 tofauti!Yale yale
Mwenzao alisign na sony wakamdhihaki leo wao wameangukia kule kule
mkuu ni kodi nzima ya wcb kama kampunisio kwa huo mkatabaMkuu nishajiandaa na matusi, si unajua mahaba upofu
mkuu ni kodi nzima ya wcb kama kampunisio kwa huo mkataba
hata mimi kwakweli nisingekubali...me nisingekubali mil 35! kwa hali hii! kha! naanzajeanzaje lbd
Khaa jamaniiiwema kipapa chake saa hz kinashituka kusikia hzo hela
Mkuu asante ingawa bado sijaelewa vizuri. Kampuni huwa wanapaswa kulipa asilimia ngapi kwani ukilinganisha na mtu binafsi
ambacho nafahamu tra huwa wanaangalia biashara yako,kama kunauwezekano wa kuingiza kiasi gani?Mkuu asante ingawa bado sijaelewa vizuri. Kampuni huwa wanapaswa kulipa asilimia ngapi kwani ukilinganisha na mtu binafsi
kumbe ww ni bongo flavourSwala la kodi halikwepeki, siku ukiingia kwenye reli ya TRA huna ujanja lazima ulipe. Kuna siku niliingiza guitar jipya kutoka Sweden nikapigiwa mahesabu nikaambiwa nililipie laki nne mi mwenyewe nilichoka.
Kuna tofauti kubwa sana tu!Wanamuziki wengi wajanja huwa huwa hawataki kusaini label wao kama wao ili hatimae kila kitu kisimamiwe na label owner (sawa na mkataba wa Kiba + Sony) bali huwa wanaingia mkataba wa kusambaziwa kazi zao au mkataba kati ya label (kubwa) na label ndogo ya msanii husika! Na ndio maana hata ukiangalia Sony, kuna utitiri wa labels ambazo wameingia nazo mkataba... kwa sababu msanii husika hakutaka individual contract ambayo ni full unyonyaji!!Yale yale
Mwenzao alisign na sony wakamdhihaki leo wao wameangukia kule kule
Asante mkuu, mimi nilijua ipo fixed rate. Basi sawa.ambacho nafahamu tra huwa wanaangalia biashara yako,kama kunauwezekano wa kuingiza kiasi gani?
baada hapo ndio wanakukadiria kodi yao
Shangaa wewe... VAT ni 18%, Income Tax 30%.. Sasa 2 billion kulipa 35 M yaani sawa na 2% ya alichoingiza sijui ni TRA ya wapi wamefanya huo upumbavuNi malipo ya aina gani hayo 2bn unalipa 35m tax? VAT?
Hehehehehe vilaz.a wao hawahoji wanarusha mikono na kushangilia..18% * 2,200,000,000 = 396,000,000 tsh. Jamaa kasema kalipa 35,000,000 ambayo ni sawa na
35,000,000/2,200,000,000 * 100 = 1.59%
Sasa mbona ushuru kalipa asilimia 1.59 tu ? Au ushuru ni asilimia ngapi kwani?
Msinirushie mawe hata sijabisha, nataka kufahamu tu
Kama unafanya biashara yenye turnover ya 20+ Million lazima uandae vitabu vya mahesabu na vikaguliwe na auditors. Hao wasafi wanafanya biashara mbalimbali, ni kampuni.. Na kama wamelipwa 2 Billion hapo lazima 18% iende TRA ambayo ni Millioni 360.. Sasa million 35 ndio tunashangaa hapo muamala umefanyikajeambacho nafahamu tra huwa wanaangalia biashara yako,kama kunauwezekano wa kuingiza kiasi gani?
baada hapo ndio wanakukadiria kodi yao
Wanachekesha!Ni malipo ya aina gani hayo 2bn unalipa 35m tax? VAT?