ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Zimekuwepo tabia za wazungu kuwabagaza wachezaji wenye asili ya Africa kutokana na wivu walionao tu na ubaguzi wa rangi
Nakubali Lamine Yamal ni kijana mdogo japo ni star, Kwa umri wake laZima bwana mdogo afanye makosa mengi ila kama watu wazima ilitakiwa kumsimamia na kumsaidia vizuri
Nilishangaa Jana baba mzima Dani Carvajaal kumshambulia bwana mdogo miaka 17 tu, yaani kama mtoto wake wa kumzaa
Kumbuka Carvajaal na Lamine Yamal wanacheza timu Moja ya taifa, naamini haikuwa poa
Hii sio mara kwanza Kwa wachezaji wenye asili ya Africa walivopitia magumu wakiwa Spain na Europe
Mfano
Neymar, aliandamwa sana hadi akapotea kila alichofanya kilioneka a kibaya
Vini Jr anatafutiwa skendo
Baloteli, huyu jamaa wazungu walimwandama
Etoo alizomea na kubaguliwa mno
Manson Greenwood, huyu dogo alikuwa na talent kubwa, akaandamwa na kupewa kesi za kijanga za ngono ambayo imerudisha nyuma kipaji chake
Bwana mdogo Yamal anapitia magumu
Nakubali Lamine Yamal ni kijana mdogo japo ni star, Kwa umri wake laZima bwana mdogo afanye makosa mengi ila kama watu wazima ilitakiwa kumsimamia na kumsaidia vizuri
Nilishangaa Jana baba mzima Dani Carvajaal kumshambulia bwana mdogo miaka 17 tu, yaani kama mtoto wake wa kumzaa
Kumbuka Carvajaal na Lamine Yamal wanacheza timu Moja ya taifa, naamini haikuwa poa
Hii sio mara kwanza Kwa wachezaji wenye asili ya Africa walivopitia magumu wakiwa Spain na Europe
Mfano
Neymar, aliandamwa sana hadi akapotea kila alichofanya kilioneka a kibaya
Vini Jr anatafutiwa skendo
Baloteli, huyu jamaa wazungu walimwandama
Etoo alizomea na kubaguliwa mno
Manson Greenwood, huyu dogo alikuwa na talent kubwa, akaandamwa na kupewa kesi za kijanga za ngono ambayo imerudisha nyuma kipaji chake
Bwana mdogo Yamal anapitia magumu