Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Yaani pamoja na kelele zoote za ufisadi na ufujaji mali ndani ya Tanzania bado wanaendelea tu kumwaga mipesa Tanzania?
Ndo kusema wanaona raha kulisha mafisadi au wananchi wa nchi zao hawana shinda kabisa hadi wapoteze hela kiasi hiki?
SERIKALI ya Uingereza itaipatia Tanzania Sh1.5trilioni kuisaidia kutekeleza Mpango Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) na kupunguza umasikini.
Uingereza yaipa Tanzania Sh.1.5trilioni
Ndo kusema wanaona raha kulisha mafisadi au wananchi wa nchi zao hawana shinda kabisa hadi wapoteze hela kiasi hiki?
SERIKALI ya Uingereza itaipatia Tanzania Sh1.5trilioni kuisaidia kutekeleza Mpango Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) na kupunguza umasikini.
Uingereza yaipa Tanzania Sh.1.5trilioni