Wazoefu/Wataalam wa kununua bonds(hati fungani): Namna ya kununua/kuwin auction

Northern Lights

JF-Expert Member
Sep 24, 2013
383
347
Habari za leo...

Naamini hapa JF kuna watu ambao tayari wameshawahi kununua bonds na wanaufaham wa jinsi ya kushinda minada ya hati fungani.

Nimelenga kuwekeza kwenye bonds za muda mrefu (25 Years), nimesikia hizi zina competition kubwa sana kwa kushinda kwenye mnada wake si kazi rahisi. Hivyo basi kama kuna watu wazoefu naomba kupata process nzima ya namna ya kununua na ni vitu gani nizingatie ili niweze kushinda kwenye mnada.

Natanguliza shukrani.
 
Nakazia, nikiwa na Milioni 10 naweza kununua hizo bond pia? Na faida yake inaweza kurange mpaka kiasi gani ikifika siku ya gawio?
 
hata mimi niliandika uziii kuhusu bonds lakini sikupata majibuu, may be naona hadi uende BOT nazania kuna seminaa
 
Habari za leo...

Naamini hapa JF kuna watu ambao tayari wameshawahi kununua bonds na wanaufaham wa jinsi ya kushinda minada ya hati fungani.

Nimelenga kuwekeza kwenye bonds za muda mrefu (25 Years), nimesikia hizi zina competition kubwa sana kwa kushinda kwenye mnada wake si kazi rahisi. Hivyo basi kama kuna watu wazoefu naomba kupata process nzima ya namna ya kununua na ni vitu gani nizingatie ili niweze kushinda kwenye mnada.

Natanguliza shukrani.
Don't be afraid. Serikali haina pesa. So there is no such competition. Pesa yako tu. Sidhani kama zipo za 25yrs. I am aware of 20yrs. If you invest 100mil, 16 to 17mil kila mwaka zitaingia mfukoni. Utalipwa kila baada ya six months. Huitaji kuziita bonds za muda mrefu. Government bonds zinajulikana ni za muda mrefu based on their definition. Zipo bills ambazo ni za muda mfupi. Kufahamu zaidi nenda to any bank you trade with halafu waambie unachotaka. Watakusaidia.
 
Don't be afraid. Serikali haina pesa. So there is no such competition. Pesa yako tu. Sidhani kama zipo za 25yrs. I am aware of 20yrs. If you invest 100mil, 16 to 17mil kila mwaka zitaingia mfukoni. Utalipwa kila baada ya six months. Huitaji kuziita bonds za muda mrefu. Government bonds zinajulikana ni za muda mrefu based on their definition. Zipo bills ambazo ni za muda mfupi. Kufahamu zaidi nenda to any bank you trade with halafu waambie unachotaka. Watakusaidia.
Asante kwa ushauri, kuna mpya za 25 years (15.95%) zimeongezwa mwaka huu wa fedha kama sikosei
 
Nimejalibu kupitia bond investment calculator ya BOT, nimejalibu kuweka tsh mil 500,000,000 kwa muda wa miaka 25 na nikabofya calculate nimeletewa kama picha inavyooenesha, sasa hio faida ya kila mwaka wameipata kwa kuzingatia bid ya shingapi katika kila mia unayoinunua?

1631543276313.png
 
hivi unatumia mbinu gani kushinda tender za hizi mikataba, nimejalibu kuangalia majibu ya mnada watu ni wengi sanaa , je upatikanaji wake ni sawa na tenda za barabara yaani unaweza honga ukapewa BOQ ukajaza kama ilvyo then mmoja wa member kwenye procurement anakusaidia hadi unapata kazi sasa sijajua kwa upande wa hizi BONDS
 
Nimeona kuna watu wamejaza bid za 99 kwenye shiling 100 sasa nawaza anapata kweli faida?? yaani hesabu nazoletewa kwenye calculator ni tofauti kabisa majibu yanakuja namba kubwakubwa sasa sijui wao kwenye mahesabu yao wanatumia bid ya shingapi kwa kila tsh 100 kupata hizi figure kubwa kwenye calculator yao.
 
je kati ya competitive na non competitive auction ipi ni nzuri? Nimeangalia naona kwenye competitive serikali imetenga pesa ndefu na kwenye non competitive auction pametengewa pesa ndogo sijajua kwa nini
 
Mwisho baada ya kupitia video moja ya BOT wakiongelea haya mambo nimejifunza kwamba , hii mikopo ama bonds zinatolewa na BOT kwa lengo la kutoa fedha kwenye mzunguko kama kuna wingi wa fedha kwenye mzunguko kunaweza leta mfumuko wa bei pia wanatoa bond ili kufanikisha fedha iliyopelea kwenye miradi ya maendeleo
 
Mwisho baada ya kupitia video moja ya BOT wakiongelea haya mambo nimejifunza kwamba , hii mikopo ama bonds zinatolewa na BOT kwa lengo la kutoa fedha kwenye mzunguko kama kuna wingi wa fedha kwenye mzunguko kunaweza leta mfumuko wa bei pia wanatoa bond ili kufanikisha fedha iliyopelea kwenye miradi ya maendeleo
I told you kuwa serikali haina pesa
 
Kwa ambao wangependa kufaham zaidi, kuna hii document ya BOT inaelezea zaidi
 

Attachments

  • 2020042813032255.pdf
    752.4 KB · Views: 175
Kwa ambao wangependa kufaham zaidi, kuna hii document ya BOT inaelezea zaidi
sawa mkuu asante kwa mchango wako! mi kwenye ile calculator yao inanichanganya sanaa, inakuambia uweke mtaji wako halafu yenyewe inamaliza kila kitu, inakupa faida utakayopata baada ya muda flani, sasa ile calculator inazingatia bid ya shingapi, unapotaka kuinunua tsh 100 yao? je ni tsh 90 au 80 au 70 hadi kukuletea faida utakayopata baada ya kuwekeza.?
 
Back
Top Bottom