Wazo nililopata kuhusu ajira

Kila la kheri mkuu... Mungu ni mwema sana utapata
 
Mm nikupe wazo kawaambie waajiri kuanzia waliomaliza chuo zamani kuja wa Sasa.
Wasichanganye wa Sasa na wa zamani, kwenye mtihani ni wazi kabisa mtu alietoka chuo hivi karibuni ni rahisi kukumbuka na kushinda mtihani wa usaili kuliko mtu wa zamani.
Najiuliza hivi kitengo Cha PSRS hakina watu wa research? Wanashindwaje kuwa wathubutu wa kubuni mbinu hizo mpaka sisi wa mtaani tunaliona hilo, hivi inaingia akilini kuita watu 1200 wanaowania nafasi 10 siyo kuwatia majaribu ya rushwa watendaji kazi wa psrs
 
Kuna watu wataniponda ila najua Kuna ushauri mzuri wadau wengine wametoa huko juu najua wenye uhitaji pia watautumia na watatoboa tuu
Mimi mwenye sina ajira kuliko nitafute misugar mummy Bora tutafute kazi karibu nipo mbezi africana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…