Wazo la mradi "Digital marketing agency", initial capital 150m

Finally umekubali kwamba ulikuwa brainwashed na theory.

Mosi, Dollars 250K ni sawa na around Million 500 in Tzs ni pesa nyingi kokote pale hapa Duniani...Money Value hiyo pesa kwakipindi hiko nisawa na Billions+ kama hutakuwa timamu kichwani.

Pili, Mzazi gani wakawaida anaweza ku-invest kwa mtoto wake Billion+ ni wangapi, huko mbali 100K hakupi, mtoa mada ana mzazi huyo kama wa Bezos.

Munapotoa mifano sio munaandika andika tu nyuma ya Keyboard ooh “mfano nani small” WTF small mtu kawekewa Billions kwenye account na babayake ujinga, ooh Kwenye garage babayako anayo hata hiyo garage kwenu.
Mie naishi USA. Wala 250k sio hela nyingi. Kwa kazi yangu, natengeneza 100k per year kirahisi sana. Nikifanya kazi full time. Na wala kazi yangu ni mambo ya nursing tu huku ughaibuni. Wala sio kazi mashuhuri sana.
 
😂😂😂. Unalinganishaje usd 250k iliyowekezwa USA eti na 500 million tshs. Ww bado sana mambo ya investment. Hata sijui kwa nini NAONGEA NA WW. NAJARIBISHA KUKUELIMISHA LAKINI NIMESHAGUNDUA LEVEL YAKO NI NDOGO SANA.

USA in google, apple, fb, amazon etc ambazo ni world's top company. Kwa hio mtu akiwekeza 250k in usa, usifikirie mtu huyo huyo atawekeza 250k in tanzania. Unanichekesha sana
Umejibu nini aise, tunaelezea Mfugale fryover wewe unaeleza bwawa la mtera.
 
Mie naishi USA. Wala 250k sio hela nyingi. Kwa kazi yangu, natengeneza 100k per year kirahisi sana. Nikifanya kazi full time. Na wala kazi yangu ni mambo ya nursing tu huku ughaibuni. Wala sio kazi mashuhuri sana.
Braza kumbe uko na mwanao Ngabu huko😂!
Kazi za afya zinalipa sana lakini hasa ukiwa mtoni.
 
Mie naishi USA. Wala 250k sio hela nyingi. Kwa kazi yangu, natengeneza 100k per year kirahisi sana. Nikifanya kazi full time. Na wala kazi yangu ni mambo ya nursing tu huku ughaibuni. Wala sio kazi mashuhuri sana.
Hivi kumbe tunabishana kama ni nyingi au sionyingi sikujua naona ushapoteza uelekeo.
 
Braza kumbe uko na mwanao Ngabu huko😂!
Kazi za afya zinalipa sana lakini hasa ukiwa mtoni.
Yes sir. Huku immigrants tukija ndio kazi tunazifanya. Wazawa wanaziogopa. Ila zinalipa mnoo. Wao tunawaachia mambo ya business administration nk. Ila na mie nikija bongo ndio nakuwa business administrator, CEO, na founder huko. Life inabidi uende tu na upepo sometimes.
 
Yes sir. Huku immigrants tukija ndio kazi tunazifanya. Wazawa wanaziogopa. Ila zinalipa mnoo. Wao tunawaachia mambo ya business administration nk. Ila na mie nikija bongo ndio nakuwa business administrator, CEO, nad founder huko. Life inabidi uende tu na upepo sometimes.
Hahahahaha Founder wa Bongo unafunga vidonda USA. Maisha yanaenda kasi 😂😂😂!
Sema mkuu ulipiga kikoz kwanza huko eeh?
 
Hivi kumbe tunabishana kama ni nyingi au sionyingi sikujua naona ushapoteza uelekeo.
Ndio. Sababu ulisema USD 250k ni nyingi. Na ndio nikasema kwa USA wala sio hela nyingi kabisaa. Kwa mtu kama mimi nilie huku ughaibuni kibaruani, ni kazi ya miaka miwili tu au hata mmoja na kitu nikipiga kazi mbili full time kwa mkupuo.
 
Dah kweli mkuu, sema requirements ni zipi sasa au Ada tu? Hawataki background za MD?
Kama ww ni MD, kuna wabongo wamekuja huku waliosomea MD Tanzania, wakapitia process na kuwa MD huku. Ni process ya 4 years I think. Hapo sasa utapiga $$$ sio mchezo. MD and lawyers ni highest paid peeps in the US. Medical doctors huku unalipwa average ofUS$300K per year. Wengine hadi 500k. Na hapo ni kwa kazi moja. Ukipiga mbili yani acha tu. Japo watu wanakuwa na life la juu sana, mansions za gharama etc. Magari kama lambos etc. Kwa hio expenditures zinakuwa juu.

Ila kama mimi I keep them very low. Huku nipo ku-make $$$ tu. My focus ni ku-invest in Tz.
 
Ndio. Sababu ulisema USD 250k ni nyingi. Na ndio nikasema kwa USA wala sio hela nyingi kabisaa. Kwa mtu kama mimi nilie huku ughaibuni kibaruani, ni kazi ya miaka miwili tu au hata mmoja na kitu nikipiga kazi mbili full time kwa mkupuo.
Ok tupelekane king'ombeng'ombe sasa.

Wazazi wangu wamenunua kiwanja tunapoishi kwa 100,000 tu mwaka 1990 Yes ni 100,000 Tzs hapa DSM.

Mbona kiwanja DSM ni bei nafuu hivi nina jirani yangu ni mfanyakazi kiwandani anapata 200,000 kwa mwezi sasa huyu nikimshauri siatakuwa na viwanja 24 kwa mwaka mmoja hapa DSM.

DSM
 
Kama ww ni MD, kuna wabongo wamekuja huku waliosomea MD Tanzania, wakapitia process na kuwa MD huku. Ni process ya 4 years I think. Hapo sasa utapiga $$$ sio mchezo. MD and lawyers ni highest paid peeps in the US. Medical doctors huku unalipwa average ofUS$300K per year. Wengine hadi 500k. Na hapo ni kwa kazi moja. Ukipiga mbili yani acha tu. Japo watu wanakuwa na life la juu sana, mansions za gharama etc. Magari kama lambos etc. Kwa hio expenditures zinakuwa juu.

Ila kama mimi I keep them very low. Huku nipo ku-make $$$ tu. My focus ni ku-invest in Tz.
Invest on making your accounts fat for the mean time. Huku usije kabla mkolomije ajaachia usukuani utachoma.

Those muhfukaz are making it for real! 300K a year man thats a hella fortune! Kama huna mambo mengi then https://jamii.app/JFUserGuide the lambos, you will be registering 1B za madafu kila mwaka.
 
Ok tupelekane king'ombeng'ombe sasa.

Wazazi wangu wamenunua kiwanja tunapoishi kwa 100,000 tu mwaka 1990 Yes ni 100,000 Tzs hapa DSM.

Mbona kiwanja DSM ni bei nafuu hivi nina jirani yangu ni mfanyakazi kiwandani anapata 200,000 kwa mwezi sasa huyu nikimshauri siatakuwa na viwanja 24 kwa mwaka mmoja hapa DSM.

DSM
Tatizo unalinganisha USA na Tz. Mie nimekuja huku mwaka 2000. Bei za vitu kipindi hicho kama sukari, milk, bread, building materials etc na za sasa wala hazijapishana.
Na mishahata haijabadilika sana. Hata kipindi hicho kipato kilikuwa bombastic tu. Kwa hio hata mwaka 2000, ambapo Amazon iliundwa Usd 250000 haikuwa nyingi.
 
Ok tupelekane king'ombeng'ombe sasa.

Wazazi wangu wamenunua kiwanja tunapoishi kwa 100,000 tu mwaka 1990 Yes ni 100,000 Tzs hapa DSM.

Mbona kiwanja DSM ni bei nafuu hivi nina jirani yangu ni mfanyakazi kiwandani anapata 200,000 kwa mwezi sasa huyu nikimshauri siatakuwa na viwanja 24 kwa mwaka mmoja hapa DSM.

DSM
Kwa hio tanzania inflation ni kubwa mno. Bei ya miaka hio, na sasa. Na ndio maana huwezi linganisha hizo namba kwa tz na USA. Hapo ndio inabidi ufahamu hilo.
250k ya kuunda amazon ya mwaka 2000. ni hela ndogo sana hata kwa kipindi hicho.
 
Invest on making your accounts fat for the mean time. Huku usije kabla mkolomije ajaachia usukuani utachoma.

Those muhfukaz are making it for real! 300K a year man thats a hella fortune! Kama huna mambo mengi then **** the lambos, you will be registering 1B za madafu kila mwaka.
Kweli kampuni zangu mbili in tz, nimezisimamisha kwa sasa. Nilikuwa huko kwa muda mrefu ila sasa hivi hali ya business environment nimbaya sana.
Kwa hio ndio nimerudi huku tena kukusanya na kuongeza nguvu. Sababu huko niliona naunguza tu mafuta, pasipo kuona matokeo mazuri hasa kwa miaka miwili iliyopita.
 
Tatizo unalinganisha USA na Tz. Mie nimekuja huku mwaka 2000. Bei za vitu kipindi hicho kama sukari, milk, bread, building materials etc na za sasa wala hazijapishana.
Na mishahata haijabadilika sana. Hata kipindi hicho kipato kilikuwa bombastic tu. Kwa hio hata mwaka 2000, ambapo Amazon iliundwa Usd 250000 haikuwa nyingi.
Ok, umejitetea vizuri mada inahusu TZ naomba uniambie hiyo pesa 250K kwa huku TZ na kihasi gani
 
Invest on making your accounts fat for the mean time. Huku usije kabla mkolomije ajaachia usukuani utachoma.

Those muhfukaz are making it for real! 300K a year man thats a hella fortune! Kama huna mambo mengi then **** the lambos, you will be registering 1B za madafu kila mwaka.
Ushauri mzuri sana my brother. Nakubaliana nawe 100%. Kuhusu biz situation in tanzania
 
Ok, umejitetea vizuri mada inahusu TZ naomba uniambie hiyo pesa 250K kwa huku TZ na kihasi gani
Kwa hio unaona 150 million tshs anayoitaka ni sawa kabisaa. Tusiongee mengi. Nataka kwenda kulala sasa hivi ndg. Usiku huku. Kwa hio unaonaje hio 150m anayoiomba hapa JF?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom