Wazo la mradi "Digital marketing agency", initial capital 150m

Ok, umejitetea vizuri mada inahusu TZ naomba uniambie hiyo pesa 250K kwa huku TZ na kihasi gani
Hapo inabidi niangalie inflation, GDP, GNP, na business indices nyingine ili kuona kuwa 250k inayowekezwa USA ni sawa na shs ngapi inayowekezwa in Tz?
 
Habari wakuu.

Wazo la mradi wa biashara ya matangazo.

Wazo linahusiana na kufungua kampuni itakayokuwa inatoa huduma ya kufanya matangazo ya kibiashara katika mfumo wa kidigitali (digital Marketing agency),katika mfumo na mtindo ambao Tanzania haujafanyika bado,kwa nchi nyingine tayari wanafanya (reference country is India).

Kwa mazingira yalipo Tanzania kwa sasa idea hii Ni wakati wake.

Wazo linahitaji initial capital ya 150,000,000/-,

kiasi hiki kinahusisha

1.Usajili wa kampuni.

2.Gharama za Vikao vya uuzaji wa hisa(maximum vikao viwili kama,itakua ni lazima kuuza hisa).

3.Gharama za Vikao vya wadau muhimu wa mradi ambao Ni sehemu katika utekelezaji wa mradi,katika majiji,tukianza na Dar es salaam.

2.Ununuaji wa mitambo (saver na ving'amuzi vyake,pamoja na backup system).

3.Office rent for six months (idea probation period).
4.Workers sararies for six months
5.Office furniture
6. System installation cost

MUDA WA MATAZAMIO YA MRADI

*Muda wa kutazamia ufanisi wa wazo Ni miezi sita.

BIDHAA

*Bidhaa ya biashara yetu Ni huduma (service).

WATEJA

Wafanyabiashara wadogo na wakubwa wanaotaka kujitangaza.

USHINDANI WA MFUMO.
Hakuna washindani wa mfumo huu kwa Sasa,ila wanaweza kuibuka baada ya mfumo kuanzishwa.

SEHEMU YA MRADI YENYE UWEKEZAJI MKUBWA

*Gharama kubwa ya uwekezaji katika wazo inaenda katika ununuaji na ujenzi wa mitambo.

USIMAMIAJI WA WAZO.

Wazo litasimamiwa na mtoa wazo,katika kufikia lengo,lakini pia mtoa wazo ana proffessional inayoendana na mradi hasa katika usimamizi na uendeshaji mitambo hiyo,licha ya utoaji wazo lakini pia Ni mtendajii,ikiwemo ubunifu katika utendaji,uendeshaji wa mifumo na ujenzi.

UUZAJI WA WAZO

Endapo wazo litatoa matokeo chanya,thamani ya wazo itabakia ndani ya kampuni,mtoa wazo atabaki Kama mwekezaji mweza kwa asilimia 30% ya mtaji ulio wekezwa bila kikomo cha muda.

UWASILISHAJI WA WAZO

Kwa wadau ambao watakua interested Nisinge penda kutuma mukhtasari wa wazo (idea) kwa njia hii ya PM au Email,ningependa tufanye appointment ya kikao Cha uwasilishaji wa wazo( idea presentation).

Location ni Dar es Salaam

Call 0682210453/whatsup

UPDATES...

INCOME GENERATION FROM THIS PROJECT(targeting minimum audience)

The main source of our income generation is an advertisements from our clients, in order to advertise we need active audience in promising number.

Our system by default will assure us with 100 to 300 people with whom will be reached by an advert per day for single decoder installed.


This means if 100 of devices installed we will have 10,000 to 30,000 number of
people who will reached by an advert per day (active audience).

Per month,assurance of an active audience will be 10,000 x 30 = 300,000 (minimum) to 900,000 (maximum).

Advertisement price per day per *single advert may be set to Tsh 3/- per single person within an audience.

In this case our Clients will pay Tsh per person within an audience,in this case income will be as follows.

MINIMUM ICOME GENERATION WITH MINIMUM AUDIENCE PER MONTH

Single advert will be pricing Tsh 900,000/- per month,equal to Tsh 30,000/- per day

This means in order for the advert to be transmited with our system the owner of an advert (company or an
individual) must pay 900,000/- per month, for his advert to reach default of 300,000 to 900,000/- active people per month.

MINIMUM INCOME GENERATION IN MINIMUM AUDIENCE

*Decoder Installed = 100
*Active audience = 300,000 people (per month).
*Minimum target adverts are 50 (per month)
*Price for advert Tsh 3/-


Therefore


3tsh x 300,000 people = Tsh 900,000/-

Minimum number of adverts per month is 50 x 900,000/-

Tsh =45,000,000/- of income.

NOTE: This calculated income may decline for 50% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project

NOTE: This calculated income may decline unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.

MAXIMUM INCOME GENERATION IN MINIMUM AUDIENCE

*Decoder Installed = 100
*Active audience = 300,000 people (per month).
*Minimum target adverts are 100 (per month)
*Price for advert Tsh 3/-


Therefore


3tsh x 300,000 people = Tsh 900,000/- per month.

Maximum number of adverts per month is 100 x 900,000/-

Tsh =90,000,000/- of income.


NOTE: This calculated income may decline for 50% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.

Stabilization will depend upon the management and marketing situation,with a time.


TOTAL RUNNING COST FOR SIX MONTH (minimum).

*Total running cost for 6 months for a Company is

Tsh 35,800,000/- ( USD 15,000/-)

*For one month is approximated to Tsh 6,000,000/- (USD 2500).

*Both investment cost and running cost comprise of Tsh

150,000,000/-

approximately to Tsh 150,000,000/- , or USD 60,000/-

NOTE: Running cost projected within 6 months.


NOTE: This calculated cost may increase for 30% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.

Stabilization will depend upon the management and marketing situation,with a time.



1. PROJECT CAPITAL INVESTMENT AND MANAGMENT.

(i) Only one investor can invest in this project, if the capital of the main investor is not enough to start-up or run this project, more capital for investment of this project
may be generated from selling shares for stakeholder with whom interested with
thes project.

(i) There must be main investor who hold more than 50% of a company shares, this is
the owner of the company.

(ii) The main investor will register a company with their names, and other investor
remain as shareholders of a company.

(iii) Each shareholders will earn profit according to their percentage of investment, if project has one investor, with whom invested capital in project for 100%,will earn 100% of Net profit generated.

2. SHARES DISTRIBUTION AND PROFT ANALYSIS.

(i) Project capital = Tsh 150,000,000/-

(ii) Main investor shares must not be less than 50% = Tsh 75,000,000/-

(iii) Only 10 shares are for sell, this means each share will cost Tsh 7,500,000/-
(iv) For 7,500,000 = 5% of total capital, therefore 5% of Net profit will be distributed for
each shareholder.

3. MANAGEMENT
(I) Chief executive Director (C.E.O),this is the main investor with more than
50% of shares within the company.

(II) Managing Director (M.D),Project Manager

(III) Shareholders
(IV) Stakeholder
(V) Staffs

NOTE: Initiation of this project can start slow, with the availability of capital,
Je, target yaki ni kuanzisha kitu kama hiki: Quickr.in ??
 
Angalia tu Diaspora.
Good day man. Tutaendeleza mjadala another time. Ila uelewe kabisa kwamba mtu anayeomba kupewa 150 million na hakuna mafanikio yeyote aliyonayo katika biashara hajui kabisa principles za business. Na kama wazazi au rafiki atampa hio 150m (sababu kwa watu wengine hawatafanya hio jambo in their right mind), itapotea yote. I GUARANTEE YOU THAT! Mie naongea ukweli tu.
 
Finally umekubali kwamba ulikuwa brainwashed na theory.

Mosi, Dollars 250K ni sawa na around Million 500 in Tzs ni pesa nyingi kokote pale hapa Duniani...Money Value hiyo pesa kwakipindi hiko nisawa na Billions+ kama hutakuwa timamu kichwani.

Pili, Mzazi gani wakawaida anaweza ku-invest kwa mtoto wake Billion+ ni wangapi, huko mbali 100K hakupi, mtoa mada ana mzazi huyo kama wa Bezos.

Munapotoa mifano sio munaandika andika tu nyuma ya Keyboard ooh “mfano nani small” WTF small mtu kawekewa Billions kwenye account na babayake ujinga, ooh Kwenye garage babayako anayo hata hiyo garage kwenu.
Biashara unayowekeza US kwa milioni 200 za kibongo ukija hapa Dar unawekeza hata kwa kutumia around 45M. Inategemea kule umewekeza jimbo gani kama California unachoma zaidi ya nusu ya mtaji kwenye vitu kama bima and the alike.
Mifano hai ninayo kwa watu wawili tofauti family relatives.
 
Biashara unayowekeza US kwa milioni 200 za kibongo ukija hapa Dar unawekeza hata kwa kutumia around 45M. Inategemea kule umewekeza jimbo gani kama California unachoma zaidi ya nusu ya mtaji kwenye vitu kama bima and the alike.
Mifano hai ninayo kwa watu wawili tofauti family relatives
Nzuri, Mkuu DocJayGroup tumepata 45M hatimae.

Hii pesa ni wazazi wangapi wanaweza kuwapa watoto wao hapa Tz.
 
Kweli kampuni zangu mbili in tz, nimezisimamisha kwa sasa. Nilikuwa huko kwa muda mrefu ila sasa hivi hali ya business environment nimbaya sana.
Kwa hio ndio nimerudi huku tena kukusanya na kuongeza nguvu. Sababu huko niliona naunguza tu mafuta, pasipo kuona matokeo mazuri hasa kwa miaka miwili iliyopita.
Huku jau tu mkuu, nipe kazi ya kuzisimamia hizo kampuni.
 
Safi sana mkuu, binafsi nmelielewa kwa asilimia 100 hili wazo, kiufupi digital marketing ndio dili huko ulaya, asia, etc. leo hii marekani tangazo kumfikia mtu moja kwa kutumia google ads au fb unaweza kugharamika hata dola 3 ambayo ni elf 6 kwa mbofyo moja wa tangazo, kwa huku nchi za third world bado sana haya mambo ndio mana unaweza kugharamika hata shilingi 100 tu tangazo lako likiminywa na mtu moja, hii yote ni kuhamasisha watu watangaze bidhaa zao (promotion).

naona watu wanalalamika mambo ya servers wakati unaweza kukodisha server nje ya nchi na kuwalipa kila mwezi kwa mpesa na mambo yakawa poa tu.
 
Mie naishi USA. Wala 250k sio hela nyingi. Kwa kazi yangu, natengeneza 100k per year kirahisi sana. Nikifanya kazi full time. Na wala kazi yangu ni mambo ya nursing tu huku ughaibuni. Wala sio kazi mashuhuri sana.
Wewe ndama acha kutuona hatuna marafiki au ndugu wanaoishi huko usa, $100,000 ni zaidi ya milioni 200 kwa mwaka, huo mshahara ni wa maprofesa wengi wanaofundisha vyuo huko marekani full time.

Jaribu kupooza hio chai yako,

Hama hapo kwa shangazi ukapambane ujue hata kula chakula ulichokitolea jasho, acha stori hizi ukishiba mlenda
 
Wewe ndama acha kutuona hatuna marafiki au ndugu wanaoishi huko usa, $100,000 ni zaidi ya milioni 200 kwa mwaka, huo mshahara ni wa maprofesa wengi wanaofundisha vyuo huko marekani full time.

Jaribu kupooza hio chai yako,

Hama hapo kwa shangazi ukapambane ujue hata kula chakula ulichokitolea jasho, acha stori hizi ukishiba mlenda
Ww mpumbavu sana. Haujui kitu halafu unajifanya unajua. Link hii hapa chini. Ya travel nurse. Salary ni $3300 kwa wiki. Sawa na $13200 kwa mwezi. TENA HIO NI KAZI MOJA TU. Sasa fikiria mtu mwenye kazi mbili. Hio moja tu yenyewe mshahara ni $13200×12 kwa mwaka ni $158,000. Hata hio $100,000 niliosema ni chini sana. NDUGU ZAKO WAAMBIE WAPAMBANE KUSOMA HATA HIO COURSE YA 2 YEARS YA RN. Usilinganishe ndg zako MABOYA na sie wapambanaji.
 
Wewe ndama acha kutuona hatuna marafiki au ndugu wanaoishi huko usa, $100,000 ni zaidi ya milioni 200 kwa mwaka, huo mshahara ni wa maprofesa wengi wanaofundisha vyuo huko marekani full time.

Jaribu kupooza hio chai yako,

Hama hapo kwa shangazi ukapambane ujue hata kula chakula ulichokitolea jasho, acha stori hizi ukishiba mlenda
Mimi nafanya travel rn, san diego california. Hebu google search salary ya travel RN san diego, california. Ndama mwenyewe ww.
 
Habari wakuu.

Wazo la mradi wa biashara ya matangazo.

Wazo linahusiana na kufungua kampuni itakayokuwa inatoa huduma ya kufanya matangazo ya kibiashara katika mfumo wa kidigitali (digital Marketing agency),katika mfumo na mtindo ambao Tanzania haujafanyika bado,kwa nchi nyingine tayari wanafanya (reference country is India).

Kwa mazingira yalipo Tanzania kwa sasa idea hii Ni wakati wake.

Wazo linahitaji initial capital ya 150,000,000/-,

kiasi hiki kinahusisha

1.Usajili wa kampuni.

2.Gharama za Vikao vya uuzaji wa hisa(maximum vikao viwili kama,itakua ni lazima kuuza hisa).

3.Gharama za Vikao vya wadau muhimu wa mradi ambao Ni sehemu katika utekelezaji wa mradi,katika majiji,tukianza na Dar es salaam.

2.Ununuaji wa mitambo (saver na ving'amuzi vyake,pamoja na backup system).

3.Office rent for six months (idea probation period).
4.Workers sararies for six months
5.Office furniture
6. System installation cost

MUDA WA MATAZAMIO YA MRADI

*Muda wa kutazamia ufanisi wa wazo Ni miezi sita.

BIDHAA

*Bidhaa ya biashara yetu Ni huduma (service).

WATEJA

Wafanyabiashara wadogo na wakubwa wanaotaka kujitangaza.

USHINDANI WA MFUMO.
Hakuna washindani wa mfumo huu kwa Sasa,ila wanaweza kuibuka baada ya mfumo kuanzishwa.

SEHEMU YA MRADI YENYE UWEKEZAJI MKUBWA

*Gharama kubwa ya uwekezaji katika wazo inaenda katika ununuaji na ujenzi wa mitambo.

USIMAMIAJI WA WAZO.

Wazo litasimamiwa na mtoa wazo,katika kufikia lengo,lakini pia mtoa wazo ana proffessional inayoendana na mradi hasa katika usimamizi na uendeshaji mitambo hiyo,licha ya utoaji wazo lakini pia Ni mtendajii,ikiwemo ubunifu katika utendaji,uendeshaji wa mifumo na ujenzi.

UUZAJI WA WAZO

Endapo wazo litatoa matokeo chanya,thamani ya wazo itabakia ndani ya kampuni,mtoa wazo atabaki Kama mwekezaji mweza kwa asilimia 30% ya mtaji ulio wekezwa bila kikomo cha muda.

UWASILISHAJI WA WAZO

Kwa wadau ambao watakua interested Nisinge penda kutuma mukhtasari wa wazo (idea) kwa njia hii ya PM au Email,ningependa tufanye appointment ya kikao Cha uwasilishaji wa wazo( idea presentation).

Location ni Dar es Salaam

Call 0682210453/whatsup

UPDATES...

INCOME GENERATION FROM THIS PROJECT(targeting minimum audience)

The main source of our income generation is an advertisements from our clients, in order to advertise we need active audience in promising number.

Our system by default will assure us with 100 to 300 people with whom will be reached by an advert per day for single decoder installed.


This means if 100 of devices installed we will have 10,000 to 30,000 number of
people who will reached by an advert per day (active audience).

Per month,assurance of an active audience will be 10,000 x 30 = 300,000 (minimum) to 900,000 (maximum).

Advertisement price per day per *single advert may be set to Tsh 3/- per single person within an audience.

In this case our Clients will pay Tsh per person within an audience,in this case income will be as follows.

MINIMUM ICOME GENERATION WITH MINIMUM AUDIENCE PER MONTH

Single advert will be pricing Tsh 900,000/- per month,equal to Tsh 30,000/- per day

This means in order for the advert to be transmited with our system the owner of an advert (company or an
individual) must pay 900,000/- per month, for his advert to reach default of 300,000 to 900,000/- active people per month.

MINIMUM INCOME GENERATION IN MINIMUM AUDIENCE

*Decoder Installed = 100
*Active audience = 300,000 people (per month).
*Minimum target adverts are 50 (per month)
*Price for advert Tsh 3/-


Therefore


3tsh x 300,000 people = Tsh 900,000/-

Minimum number of adverts per month is 50 x 900,000/-

Tsh =45,000,000/- of income.

NOTE: This calculated income may decline for 50% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project

NOTE: This calculated income may decline unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.

MAXIMUM INCOME GENERATION IN MINIMUM AUDIENCE

*Decoder Installed = 100
*Active audience = 300,000 people (per month).
*Minimum target adverts are 100 (per month)
*Price for advert Tsh 3/-


Therefore


3tsh x 300,000 people = Tsh 900,000/- per month.

Maximum number of adverts per month is 100 x 900,000/-

Tsh =90,000,000/- of income.


NOTE: This calculated income may decline for 50% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.

Stabilization will depend upon the management and marketing situation,with a time.


TOTAL RUNNING COST FOR SIX MONTH (minimum).

*Total running cost for 6 months for a Company is

Tsh 35,800,000/- ( USD 15,000/-)

*For one month is approximated to Tsh 6,000,000/- (USD 2500).

*Both investment cost and running cost comprise of Tsh

150,000,000/-

approximately to Tsh 150,000,000/- , or USD 60,000/-

NOTE: Running cost projected within 6 months.


NOTE: This calculated cost may increase for 30% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.

Stabilization will depend upon the management and marketing situation,with a time.



1. PROJECT CAPITAL INVESTMENT AND MANAGMENT.

(i) Only one investor can invest in this project, if the capital of the main investor is not enough to start-up or run this project, more capital for investment of this project
may be generated from selling shares for stakeholder with whom interested with
thes project.

(i) There must be main investor who hold more than 50% of a company shares, this is
the owner of the company.

(ii) The main investor will register a company with their names, and other investor
remain as shareholders of a company.

(iii) Each shareholders will earn profit according to their percentage of investment, if project has one investor, with whom invested capital in project for 100%,will earn 100% of Net profit generated.

2. SHARES DISTRIBUTION AND PROFT ANALYSIS.

(i) Project capital = Tsh 150,000,000/-

(ii) Main investor shares must not be less than 50% = Tsh 75,000,000/-

(iii) Only 10 shares are for sell, this means each share will cost Tsh 7,500,000/-
(iv) For 7,500,000 = 5% of total capital, therefore 5% of Net profit will be distributed for
each shareholder.

3. MANAGEMENT
(I) Chief executive Director (C.E.O),this is the main investor with more than
50% of shares within the company.

(II) Managing Director (M.D),Project Manager

(III) Shareholders
(IV) Stakeholder
(V) Staffs

NOTE: Initiation of this project can start slow, with the availability of capital,

In order for people to invest, potential shareholders must have confidence with the people who will be running the enterprise. More information is needed for people to have confidence that they are not being conned!!
 
Mie ninahitaji $1.5M kutengeneza Sub Sahara streaming platfom itakayoitwa ZAZA

ZAZA ni platform ambayo African movies and shows zitakuwa zinapatikana kwa watu ku stream

Tayari nimeshazungumza na Vince kampuni ya Marekani iliyobobea kwenye utengenezaji wa software na kwamba wamekubali kutengeneza Sysyem hiyo kwa $500,000 kwa muda wa miezi 6-8

Kampuni itasajiliwa Marekani na makao makuu yake yatakuwa Irvine, Califonia

Why Irvine, ni rahisi kupata tech guys ambao wana experience na tech media kama streaming platforms, etc

Na hao tech guys tayari tuna connection nao ambapo kupitia platform ya Builtinla.com tayari tumeanza na mazungumzo mawili matatu na baadhi ya tech personel

Tanzania itakuwa ni office nyingine ambapo tutakuwa tunapanga strategies zetu

Lakini tutaafungua regional offices kupitia Regus ambapo kila regional tutakuwa na members 2-5 ambapo tutafungua nchi tano za ambazo ni

Tanzania
London
South Africa
Irvine (USA)
Oman

Tayari tumeanza kuwa na office ya Regus Tanzania ambapo tutaendelea kufungua office zingine through somedays

Mpango wetu ni kuweka contents za Ki Africa kuanzia movies, soap opera, TV shows etc

Malengo yetu ni kuanza 2023 ambapo within 5 years mpaka 2025 tuwe na payable viewers 1M Duniani kote ambao watakuwa wamelipia kuangalia African contents

Soko la streaming kwa sasa ni $50M ambapo inaaminika mpaka kufikia 2027 itakuwa ni $184M

Africa mpaka kufikia 2027 inakadiriwa kutakuwa na potential customers 100M ambapo tuta target 1M ambayo ni 1% tu

Our first business mode will be B2B Mode kwa maana we will work with content creators
Our second business mode will get B2C ambapo hapa ni kwa clients wote waliopo ndani na nje ya Africa

Competitor mkuu ni showmax ambaye yeye strength zake ni kwamba yupo chini ya Multichoice Group so ana investment muscles kubwa na kwamba yupo nchi 65

Weakness kubwa showmax ni kwamba

There is no sports or news programmes to watch in evening kitu ambacho ZAZA tutakuja nacho

Ni ngumu ku set up profiles za familia kwa showmax ambapo sisi tutakuwa na mfumo huo

Showmax wiki mbili za kwanza ni free ambapo sisi tutafanya 21 days kwenye ZAZA

Pricing yetu itakuwa ni $7 per month kwa standard na $15 per month kwa premium

Mtu akiamua kulipia kwa mwaka atalipia $80 per annual kwa standard na $150 per annual kwa premium

So let's say tumepata standard people we predict kuwa

First year 100,000 payable users
Second year 280,000 payable users
Third year 400,000 payable users
Fourth year 800,000 payable users
Fifth year 1,000,000 payable users

We predict t mapato kama ifuatavyo

$8M revenue in first year
$16M revenue in second year
$36M revenue in third year
$64M revenue in fouth year
$80M revenue in fifth year


Ile $1.2M ambayo tutaitumia ku develop the platform kwa maana engineering, set up offices regional wise, and legal

Mwaka huo huo mwishoni tuta rise other $20M kwa ajili ya expansion na content integrations

Kisha other venture rounds will go on

Tuna mpango ndani ya miaka mitano tuwe tume rise $200M

So kwa mfumo huo unaona ndani ya miaka mitano ya mwanzo tutakuwa hatujapata faida sababu tume rise more than $200M lakini revenue kwa mwaka ni $80 lakini our post Money valuation itakuwa ni kubwa around 700 ambayo itavutia customers wengi zaidi na zaidi na kusaidia kuanza kutengeneza mapato

Mfumo wa malipo ni kupitia credit card only na kwa sababu kampuni itakuwa Marekani Stripe ndio watahusika katika kufanya malipo so malipo yatakuwa secured

So kama uko interested kuwekeza kwenye ZAZA $1.5 M karibu tuzungumze nakaribisha maswali
Screenshot_20210117-091313_Google%20Play%20Store.jpeg
Screenshot_20210117-091331_Google Play Store.jpeg
Screenshot_20210117-091336_Google Play Store.jpeg
Screenshot_20210117-091320_Google%20Play%20Store.jpeg
Screenshot_20210117-091323_Google%20Play%20Store.jpeg
 
Mkuu umetoa boko hapa iko hivi for your information Account Manager tu wa kampuni analipwa $100K annualy mbona ni mshahara wa kawaida sana kwa USA

Sio jambo la kushangaa
Wewe ndama acha kutuona hatuna marafiki au ndugu wanaoishi huko usa, $100,000 ni zaidi ya milioni 200 kwa mwaka, huo mshahara ni wa maprofesa wengi wanaofundisha vyuo huko marekani full time.

Jaribu kupooza hio chai yako,

Hama hapo kwa shangazi ukapambane ujue hata kula chakula ulichokitolea jasho, acha stori hizi ukishiba mlenda
 
Sawa boss, tutafatilia!, ila moja ya changamoto za cloud ni security unless uwekeze Sana kwenye Hilo.
Tatizo sio security sema huna au hamna utaalam wa kuzitumia hizo server(no offence)!!

Kama AWS au microsoft azure zingekua mbovu kiusalama basi akina netflix wasingezitumia.
 
Katika kitu sipendi kwenye haya maisha ni kumwambia mtu jambo analotaka kufanya au ambalo ameanza kufanya kuwa halina maana.

Binadamu tumepewa vision tofuti sana. Mwenzako anaweza pewa maono ya kufanya kitu chenye thamani ya mamilioni ila kwasababu haupo katika vision yake utahisi anafanya pumba sana.

Moja ya kitu kilinibadilisha na kunipa upeo huu wa kuwaamini watu na kuwapa chance ya kuonyesha uwezo wao ni kipindi fulani hivi miaka nipo sekondari kuna ndugu yangu binadamu, binti ambaye alikuwa ametoka kwao iringa kaja mjini kuishi na familia yetu.Nakumbuka alikuwa ndio amemaliza darasa la saba so akaja kukaa home.

Yule binti alikuwa shapu sana na mchapakazi ingawa ndio hivyo hakuwa na uwezo wa ubunifu wa biashara au idea ya nini afanye. Mimi on the other hand kwa wakati ule nilikuwa nina vi idea kidogo. Siku moja nilitengeza juice (mimi nipo vizuri sana katika recipes za vinywaji organic especially matunda) nilitengeza juice, na avocado milk shake yenye vionjo vya vanilla na food colour. Yule binti alipoinywa ile kitu aliipenda sana akasema hii ataweza kuiuza na tukapata faida. Mimi kimoyo moyo na hata kwa kauli sikuungana nae nilimkatalia.

Nikamwambia kwa gharama ya kutengeneza na tukitaka kuuza watu hawatanunua watanzania hawapendi vitu vya kizungu labda wale wakishua wanaoishi masaki kule ila huku uswahilini hawatanunua maana hata sista wangu alishataka kuuza ice cream ila alifeli (sababu ilikuwa uhifadhi wa ice-cream container kuna utaratibu wake na friji za aina yake)

Basi alikuwa ananililia kila siku tutengeneze ajaribu kuuza. Mwishowe nikakubali. So nikatengeneza aina tatu ya products. Akaanza kutembeza (nachomsifu yule binti ni mpambanaji na vile hapa mjini sio mzaliwa so alikuwa anatembea bila noma. So huwezi amini hadi jioni zile dumu tatu zimekata na anasumbuliwa balaa....

Aisee ikabidi nistaajabu..... Anyways, nikaongeza mzigo ikawa natengeneza ndoo ndogo kwa kila product. Yaani ikawa zile ndoo ndogo hazikai zinakata hata mchana haujaisha. Kuna watu wakawa wanaweka order ya ndoo nzima anataka so hadi wale wengine wanakosa. Biashara ili boom, na mapato yalianza kuonekana kwa kifupi nilipata pesa ya kufanya mambo mengi kwa wakati ule na yule dada alianza kupata pesa ya kutuma kwa bi mkubwa wake, tukafungua sehemu ya bites and drinks na mambo yakaanza kusimama na kushika kasi hadi leo naongea ile kitu ni moja ya investment kubwa sana nilifanya na ilisaidia hata kunisomesha (sijasoma kwa mkopo wa serikali chuoni) imagine ningemdharau yule dada na kumkatalia kuwa hicho kitu hakitauzika (kuwa closed minded).

Nikaanza taratibu kuelewa kuwa muda mwingine sio vizuri kumkataa mtu na wazo lake na haujui yeye anaona nini ambacho wewe haukioni. Sasa huyu bwana mnaweza mkataa hapa ila kesho akikomaa hii baishara ikasimama mtarudi katika huu uzi na kuanza kusifia, kupongeza, na kujilaumu why hamkuona potential ndani ya maoni yake.....

Usipoelewa jambo haimaanishi huyo anaekwambia anaongea upuuzi au anaongea kitu kisicho na tija pengine unatakiwa ujifunze kwake na ujue jambo jipya.

Akina Newton walikuwa wanapondwa sana aidea zao ila leo tunawasoma darasani na ili mtu uonekane una akili ni lazima uclamishe yale mawazo yao na kuyajibia mtihani kisha unaitwa smart (so stupid).


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jambo moja la kufahamu:-

Ushauri unakaribishwa but at the end of the day mwenye uamuzi wa mwisho ni mshauriwa binafsi. Hili ni muhimu sana.
Sometimes you have to hear the sounds from your inner feelings. Hili nimejifunza sana. Through my experience kuna mambo nimewahi kutatua by listening to my inner feelings and take decisions japo nilikatishwa tamaa simply tuu eti kuna watu walijaribu na walishindwa tena kwa vijisabau kuwa walikuwa na PhD. Can you imagine !!!! Kama nimgefuata ushauri wa kuogopa kushindwa kwa ajili ya kuwa waliojaribu walikuwa na hiyo PhD tena foreigners then nisingejaribu.
 
Mie ninahitaji $1.5M kutengeneza Sub Sahara streaming platfom itakayoitwa ZAZA

ZAZA ni platform ambayo African movies and shows zitakuwa zinapatikana kwa watu ku stream

Tayari nimeshazungumza na Vince kampuni ya Marekani iliyobobea kwenye utengenezaji wa software na kwamba wamekubali kutengeneza Sysyem hiyo kwa $500,000 kwa muda wa miezi 6-8

Kampuni itasajiliwa Marekani na makao makuu yake yatakuwa Irvine, Califonia

Why Irvine, ni rahisi kupata tech guys ambao wana experience na tech media kama streaming platforms, etc

Na hao tech guys tayari tuna connection nao ambapo kupitia platform ya Builtinla.com tayari tumeanza na mazungumzo mawili matatu na baadhi ya tech personel

Tanzania itakuwa ni office nyingine ambapo tutakuwa tunapanga strategies zetu

Lakini tutaafungua regional offices kupitia Regus ambapo kila regional tutakuwa na members 2-5 ambapo tutafungua nchi tano za ambazo ni

Tanzania
London
South Africa
Irvine (USA)
Oman

Tayari tumeanza kuwa na office ya Regus Tanzania ambapo tutaendelea kufungua office zingine through somedays

Mpango wetu ni kuweka contents za Ki Africa kuanzia movies, soap opera, TV shows etc

Malengo yetu ni kuanza 2023 ambapo within 5 years mpaka 2025 tuwe na payable viewers 1M Duniani kote ambao watakuwa wamelipia kuangalia African contents

Soko la streaming kwa sasa ni $50M ambapo inaaminika mpaka kufikia 2027 itakuwa ni $184M

Africa mpaka kufikia 2027 inakadiriwa kutakuwa na potential customers 100M ambapo tuta target 1M ambayo ni 1% tu

Our first business mode will be B2B Mode kwa maana we will work with content creators
Our second business mode will get B2C ambapo hapa ni kwa clients wote waliopo ndani na nje ya Africa

Competitor mkuu ni showmax ambaye yeye strength zake ni kwamba yupo chini ya Multichoice Group so ana investment muscles kubwa na kwamba yupo nchi 65

Weakness kubwa showmax ni kwamba

There is no sports or news programmes to watch in evening kitu ambacho ZAZA tutakuja nacho

Ni ngumu ku set up profiles za familia kwa showmax ambapo sisi tutakuwa na mfumo huo

Showmax wiki mbili za kwanza ni free ambapo sisi tutafanya 21 days kwenye ZAZA

Pricing yetu itakuwa ni $7 per month kwa standard na $15 per month kwa premium

Mtu akiamua kulipia kwa mwaka atalipia $80 per annual kwa standard na $150 per annual kwa premium

So let's say tumepata standard people we predict kuwa

First year 100,000 payable users
Second year 280,000 payable users
Third year 400,000 payable users
Fourth year 800,000 payable users
Fifth year 1,000,000 payable users

We predict t mapato kama ifuatavyo

$8M revenue in first year
$16M revenue in second year
$36M revenue in third year
$64M revenue in fouth year
$80M revenue in fifth year


Ile $1.2M ambayo tutaitumia ku develop the platform kwa maana engineering, set up offices regional wise, and legal

Mwaka huo huo mwishoni tuta rise other $20M kwa ajili ya expansion na content integrations

Kisha other venture rounds will go on

Tuna mpango ndani ya miaka mitano tuwe tume rise $200M

So kwa mfumo huo unaona ndani ya miaka mitano ya mwanzo tutakuwa hatujapata faida sababu tume rise more than $200M lakini revenue kwa mwaka ni $80 lakini our post Money valuation itakuwa ni kubwa around 700 ambayo itavutia customers wengi zaidi na zaidi na kusaidia kuanza kutengeneza mapato

Mfumo wa malipo ni kupitia credit card only na kwa sababu kampuni itakuwa Marekani Stripe ndio watahusika katika kufanya malipo so malipo yatakuwa secured

So kama uko interested kuwekeza kwenye ZAZA $1.5 M karibu tuzungumze nakaribisha maswaliView attachment 1679517View attachment 1679518View attachment 1679519View attachment 1679520View attachment 1679521
Whats about DUNDA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom