Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Hili wazo kwa mara ya kwanza lilitolewa na Mbunge mmoja katika bunge lililopita
Kwamba ukienda katika baadhi nchi zilizoendelea utakumbana na hii kitu ambapo wajuzi wote wanajiorodhesha kadri walivyosoma,contact zao ,walio na ajira na wasio na ajira.
Hivyo wawekezaji wakifika nchini humo ni just kuingia katika database hiyo na kuchukua mtsalam wa jambo Fulani.
Nina wazo kuwa sisi humu JF tunaweza kuitengeneza
Mfano ,Huu ni mfano tu
Nawasilisha kwa maoni mapendekezo
Rutunga M
© October, 2011
Kwamba ukienda katika baadhi nchi zilizoendelea utakumbana na hii kitu ambapo wajuzi wote wanajiorodhesha kadri walivyosoma,contact zao ,walio na ajira na wasio na ajira.
Hivyo wawekezaji wakifika nchini humo ni just kuingia katika database hiyo na kuchukua mtsalam wa jambo Fulani.
Nina wazo kuwa sisi humu JF tunaweza kuitengeneza
Mfano ,Huu ni mfano tu
No | Jina kamili | Ujuzi katika | Ngazi | Chuo gani | Uzoefu | Mkoa ulipo | Mawasiliano |
1 | Rutunga M | Mass Com | Degree | IJMC | 5years | Lindi | 075555 |
2 | Magamba Leo | ICT | Diploma | UDOM | Non | DSM | 022 3333 |
Rutunga M
© October, 2011