Wazo la kukopa fedha benki

Wazo la kukopa fedha benki

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
2,633
Reaction score
2,378
Nina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
 
Nina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
Mkopo wa muda gani, nianze kukupa elim mtumishi mwenzio, na gari gan unataka kununua, je unafamilia?
 
Mkopo wa muda gani, nianze kukupa elim mtumishi mwenzio, na gari gan unataka kununua, je unafamilia?
Nina famili jumla tuko watano.Kwa kiasi hicho cha pesa itanibidi nikope kwa muda wa miaka 9.Najua ni muda mrefu nawafaidisha benki lakini sina namna.Moyo unataka gari mpya toka Japani.Alphard,Wishi au yoyote yenye siti saba au nane
 
Nina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
Since it's your life, just do whatever pleases you.
 
Nina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
Sikushauri ukope ununue gari kwa hicho kipato na idadi ya famililia yako, endelea kupanda daladala .Mama Samia akimaliza mitano kinaweza kufika 1m,hapo endelea kutokopa ..atakaye Ingia miaka kumi na kuondoka atakuacha 2m...hapo pia usikope ..ukistafu utapata 50m ..usikope ..SAVE ANZISHA MIRADI UTUMIE KUNUNUA GARI NA KUENDESHA GARI ..KOPA KWA AJILI YA KUANZISHA /MIRADI
 
Nina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
kwa mshahara wa laki 600000 ni mkubwa sana.unaweza nunua hiyo gari hata bila kukopa mkuu
 
Acha wazimu mkuuu..bora ukope kujengaa ukwepe maumivu ya kodi angalau ila Gariiii utachanganyikiwaa walahii maana huo mshahara hautatosha kulihudumia gari.
Sawa ila nimeshajenga nyumba ya vyumba vinne nimekamilosha vitu vya msingi kama tile n.k
 
Sikushauri ukope ununue gari kwa hicho kipato na idadi ya famililia yako, endelea kupanda daladala .Mama Samia akimaliza mitano kinaweza kufika 1m,hapo endelea kutokopa ..atakaye Ingia miaka kumi na kuondoka atakuacha 2m...hapo pia usikope ..ukistafu utapata 50m ..usikope ..SAVE ANZISHA MIRADI UTUMIE KUNUNUA GARI NA KUENDESHA GARI ..KOPA KWA AJILI YA KUANZISHA /MIRADI
Kaka muda wa kumiliki gari ni huu nina miaka 45 bado 15 nistafu.Haitakuwa vizuri nimiliki gari baada ya miaka hiyo
 
Sawa ila nimeshajenga nyumba ya vyumba vinne nimekamilosha vitu vya msingi kama tile n.k
hapo sawa unaweza kutake risk japo kukopa na kuanzisha biashara ni jambo jema...tumia nusu ya hela kwa usafiri na nusu kwa kununua gari
 
hapo sawa unaweza kutake risk japo kukopa na kuanzisha biashara ni jambo jema...tumia nusu ya hela kwa usafiri na nusu kwa kununua gari
Ni risk taking kwa kweli sina namna maana nao makato ya benki yanatesa sana
 
Nina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
Ingekuwa ni kuwekeza ujenzi wa makazi yako au mtaji wa biashara yenye uhakika ni njema zaidi, lakini gari sikushauri kwa sababu hiyo ni liability mara mbili, makato ya mshahara kulipa deni, at same time kipato kidogo utachoendelea kupata hilo gari litakuwa na share yake kutafuna salio lililobaki kwa mshahara, mi naona ni burden itakayo kutafuta makato ya deni pamoja na take home (double sword liability)
Ushauri: usikope hela kununua gari ya kutembelea
 
Wanakwambia usikope usikope sijui nini
Ukikopa ukinunua gari hao hao utasikia mwanangu hongera maisha kujilipua tu mwanetu wanasahau walikwambia usikope usikope


MY TAKE
WEWE KAKOPE NUNUA GARI YAKO TEMBELEA IKIZUNGUA UNAUZA IKIPATA AJARI UKISHUNDWA TENGENEZA UNAUZA YANI HICHO CHANGAMOTO SIJUI NINI NDIO KUKUA KIAKILI YA MAISHA SO KAKOPE KAMA UNAKOPESHEKA


KUNA WATU KWENYE UTUMISHI WA UMMA HIYO TABIA YA OOH KUKOPA SIJUI NINI LEO KAZINI WANA MIAKA ZAIDI YA KUMI MKOPO HAWANA ILA MAISHA YAMEWAPIGA BALAQ NA WALIOKOPA WAKAWASEMA WAKACHEKQ TU CAUSE WALIPATA CHANGAMOTO YA KIPATO WAKATAFUTA MEANS YAKUISHI NA WANAENJOY MAISHA SO JILIPUE KWANI UMEONGEA NA MUNGU KUWA WEWE KIPATO CHAKO KITAKUWA HIYO HIYO 600 OPEN YOUR EYES KAJILIPUE MAMBO MENGINE YATAJULIKANA MBELE KWA MBELE
 
Weka akiba kila mwezi ya kiasi cha tsh 300,000 hadi 400,000

Ukiweka akiba ya 300,000 toka ktk mshahara wako kwa miezi 12 utakuwa na kiasi cha tsh. 3,600,000.

Kwa miaka 9 hadi 10 ya mkopo utakuwa na akiba ya 32,4000,000. Kwa miaka 9 na kwa miaka 10 utakuwa na akiba ya 36,000,000

Hapa unakuwa umebakisha miaka 5 uachane na ajira. Una nunua gari kali


Ikiwa utawekeza akiba ya 400,000 kila mwezi.

Kwa miezi 12 ni 4,800,000.

Kwa miaka 9 ni 43,200,000

Kwa miaka 10 ni 48,000,000

Hapa unakuwa umebakisha miaka michache ya kuachana na ajira, unarudi ktk matumizi ya 600,000 yako au unaweza kuta mshahara umeongezeka mara dufu na vyeo vya kumwaga na maposho bila idadi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom