Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Lini Mbowe amesema kuwa amejipa uongozi wa hayo mapambano dhidi ya katiba mpya?
Mfano wewe johnthebaptist ukiwa ubanda pale mitaa yako ya Ipogoro unakunywa ulanzi na wenzako na ikatokea ukaanza kuainisha umuhimu wa katiba mpya, inamaana utakuwa umefanya hiyo kwa nia ya kujipachika nafasi ya uongozi juu mapambano ya kudai katiba mpya?
Mfano wewe johnthebaptist ukiwa ubanda pale mitaa yako ya Ipogoro unakunywa ulanzi na wenzako na ikatokea ukaanza kuainisha umuhimu wa katiba mpya, inamaana utakuwa umefanya hiyo kwa nia ya kujipachika nafasi ya uongozi juu mapambano ya kudai katiba mpya?