johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Rais wa awamu ya 4 mzee Kikwete alisema ni Dr Sengodo Mvungi ndiye aliyemshawishi hadi akaanzisha mchakato wa Katiba mpya kwa kuunda Tume ya Warioba.
Kikwete alisema Dr Mvungi alikuwa anapiga kambi hotelini kule Bagamoyo akifanya michakato ya namna ya kuipata katiba mpya itakayowainua Watanzania.
Naye, mzee Warioba alisema Dr Mvungi alikuwa ndio Injini ya Tume ya Katiba kwani alijitoa kwa 100% kuifanya kazi hiyo.
Sasa, tujiulize Mbowe au Zitto Kabwe wana uthubutu huo wa kuachilia fursa zote ili kuongoza Mapambano ya kudai Katiba mpya?
Maendeleo hayana vyama!
Kikwete alisema Dr Mvungi alikuwa anapiga kambi hotelini kule Bagamoyo akifanya michakato ya namna ya kuipata katiba mpya itakayowainua Watanzania.
Naye, mzee Warioba alisema Dr Mvungi alikuwa ndio Injini ya Tume ya Katiba kwani alijitoa kwa 100% kuifanya kazi hiyo.
Sasa, tujiulize Mbowe au Zitto Kabwe wana uthubutu huo wa kuachilia fursa zote ili kuongoza Mapambano ya kudai Katiba mpya?
Maendeleo hayana vyama!