Mnyama wa DM
JF-Expert Member
- Mar 24, 2026
- 325
- 1,061
Hela za serikali tumeshndwa kuzilinda dhidi ya samuya na genge lake, wanakula hadi kuvembewa, na adhabu yao ni kuwazomea waone aibu. Itakua hela za saccos ya Anonimous members?
Mods watakuwa wameutokomeze kusikojulikana.secretarybird hivi ule uzi wenu wa watu wa hivyo mbona siuoni?
Mod saiv wapo serious 🙌Mods watakuwa wameutokomeze kusikojulikana.
Nasikia melo kawawashia moto 🔥.Mod saiv wapo serious 🙌
😀Sasa, hebu tujiulize, rafiki yetu GENTAMYCINE akiamua kukopa na fedha hizo zikatumika na marafiki zake Kawe, je, hatutakuwa tunamweka katika hali ngumu zaidi kiuchumi? Cc secretarybird
Mambo vipi dr?Nasoma comment zako kwenye nyuzi mbalii mbalii..
Majibu Yako 😊 😁
Kwaheri ndugu yangu.
Hehehe itakua maana hata Selfika zimetembea BanNasikia melo kawawashia moto 🔥.
Fresh upo poa mambo yana endajee.Mambo vipi dr?
Fresh, kitambo mwanangu.Fresh upo poa mambo yana endajee.
Mimi nipo poaa..kwema hukoo
Wazo zuri! Japo mtawalahisishia Teeth kazi .Najaribu kuwaza tu, jukwaa hili likiamua kuanzisha saccos kwa kila mwanachama akawa anachangia 1000 kila mwezi na kuwepo utaratibu mzuri wa kupata pesa pale panapohitajika; Je, kuna mwanachama yeyote mwenye akili timamu atabaki kuwa masikini?
Kwa makadirio tu ya haraka, michango kwa mwaka inaweza fikia 6 bilioni (1000 x 500,000 x 12).
Karibu kwa mjadala.
Duh! Mbona umefunga PM yako bibie..nna ujumbe wako.Hii ni platform ya fake ID’s
Wewe km unataka saccos anzisha za ukoo wenu au familia yako..!!
Kutoka wapi? Ila wazee uchwara wa JF mna mambo sana mjue 😹😹😹Duh! Mbona umefunga PM yako bibie..nna ujumbe wako.
Kweli aisee,Fresh, kitambo mwanangu.
Nipe mchongo basi
Poa Poa simu ziite kiongozi..Kweli aisee,
Michongo ipo mingi TU. Tutafutane.
Poa poa mkuuPoa Poa simu ziite kiongozi..
Huna adabu kwa wazee! Ukamatwe haraka!!Kutoka wapi? Ila wazee uchwara wa JF mna mambo sana mjue 😹😹😹
AKA zinabaki huku, kule ni majina halisi na hakuna kujitambulisha kwa jina la forumWazo zuri! Japo mtawalahisishia Teeth kazi .
Kule mnajuana kiuhalisia kama unavyomjua jirani yako, ila hizi aka zinabaki huku kwenye forum na hakuna kujitambulisha.Huko unakoishi hakuna ‘watu’??. Mambo ya kujuana juana sana ndio mwanzo wa kuharibiana CV