Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Mzee Mwanakijiji, kuna wabunge waislam wenye kuvaa kanzu bungeni na wanafanya shughuli zao za kibunge bila ya kubughudhiwa. Ni haki yao ya kiraia.
Siku za ufunguzi wa miradi ya awamu ya tano, Baba Askofu Pengo akiwa kavaa joho la kiaskofu anakaa pembeni ya yule shekhe wa Dar, na hakuna anayejiona kama vile yupo mahali asipotakiwa kuwepo.
Nchi yetu haina dini ingawa watu wake wanazo dini zao - Marehemu Julius Nyerere.
Siku za ufunguzi wa miradi ya awamu ya tano, Baba Askofu Pengo akiwa kavaa joho la kiaskofu anakaa pembeni ya yule shekhe wa Dar, na hakuna anayejiona kama vile yupo mahali asipotakiwa kuwepo.
Nchi yetu haina dini ingawa watu wake wanazo dini zao - Marehemu Julius Nyerere.