Kwanini usilale upumzishe akili?Mlivyojaa Roho za chuki kwa Makonda, Hata kuandika mnashindwa
Mkuu wewe ukiona neno Makonda hata kusoma Maelezo husomi, Unaanza kuflow chorus ya Chuki na Roho mbaya
Vaa barakashia kanisani kama barakashia haina dini
Wewe huna lolote zaidi ya roho mbaya na chuki, mnajitakia magonjwa mengine wenyewe hasa presha
Waraka namba 3 wa mwongozo wa mavazi wa mwaka 2007 unawataka wafanyakazi wote wa ofisi za umma na wananchi wote kutokuvaa mavazi yafuatayo:-
-Jeans
-Nguo zenye maandishi yoyote
-Nguo zinazobana mwili wako
-Nguo zilizo juu ya magoti (sketi/gauni)
-Kaptula
-Pedo
-Jezi za timu za mpira
-Nguo za chama chochote cha siasa
-Suruali ambazo hazijapindwa
-Blauz zinazoacha kifua/mgongo wazi
-Kuvaa mlegezo