Wazo Fyatu: Serikali Ikubali kula Hasara

Mkuu Mzee Mwanakijiji , kunapotokea injustices, aggression or oppression, unapokaa kimya, maana yake ni ume side na the aggressors, the oppressors to support the injustices.

Usinyamaze, keep shouting, keep writing, keep fighting. Fufua Cheche za Fikra, mwamshe Lula wa Ndali Mwananzela na wewe mwenyewe Mzee Mwanakijiji rejea ulingoni kidigitali zaidi kuisaidia nchi yako.

P
Bro kuna wakati unapoibeza njaa huwa una mqdini mkuu
 
Tuseme ukweli tu...

Hadi pale Serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama Mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesi ya Mbowe ifutwe, #Serikali ile hasara.

Watu watacheka lakini wataheshimu..
Kuna mtu aliandika humu kuwa serikali haijawahi kushinda kesi kwakuwa kuna njama nyingi hufanyika hata na wale wanaoitetea yenyewe
 
Kesi ya Mbowe haiwezi kufutwa kamwe.Mpaka sasa Jamhuri ina ushaidi mzito (in Sirro voice) dhidi ya Mbowe na genge lake la ugaidi.

Jamhuri ina mashaidi 24 ,shangazi kaja na Jaji Mkakati.

Jaji Mustafa tumemwondoa kwasababu kapoteza mwelekeo Mbowe lazima afungwe makomando lazima tuwafunge.
.... It's over
 
Back
Top Bottom