wanatupa hasara wananchi kwa kuchezea pesa kwa makusudi....mzigo mkubwa wa tozo uende kwa mpiga kuraTuseme ukweli tu...
Hadi pale Serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama Mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesi ya Mbowe ifutwe, #Serikali ile hasara.
Watu watacheka lakini wataheshimu..