Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,814
- 9,341
CCM ndio wamiliki halali wa Watu wasiojulikana
Wasiwasi wangu ni pale ambapo Askofu Mwamakula atapeleka malalamiko yake katika ofisi za CDM ili kutengeneza mchoro wa "WATU WASIOJULIKANA" badala ya kwenda kituo cha polisi!Mbona watu wanapigwa picha na video?
Ushauri wa watu kama CDM, CCM, CUF, ACT - Wazalendo n.k. kujipa mamlaka ya kuchora watu na kutuaminisha kuwa ni waarifu sikubaliani nao ila nisamehe bure kama nitakuwa sijakuelewa vizuri!
Siasa ambazo naziunga mkono 100% Ili watu waamke next time hao wajinga upinzani wajifunze maana haya yasingetokea kama tungekua na upinzani makini tangu mwanzo badala ya wachumia tumboAmewataja cdm wala hajawataja ccm kwani ndio wahanga wakubwa wa watu wasiojulikana. Hata huyo mwanakijiji anazunguka tu kufurahisha genge, lakini ukweli hao watu wasiojulikana ni matokeo ya siasa za jiwe. Na siku anatoka madarakani kundi hilo halitakuwepo fullstop.
Na. M. M. Mwanakijiji. Ni vizuri watu kama CDM au vyombo vingine kuanza kutumia "sketch artists" yaani wachoraji na kuanza kutengeneza picha za wahusika ili watu waanze kuwajua taratibu.[/b] Endapo picha za michoro za watu hao zikitengenezwa vizuri na kusambazwa watu wengine wataanza kutengeneza tahahadhari na hata kuweza kuwatambua kuwa ni kina nani.
Niandikie: mwanakijiji@jamiiforums.com
Yani mnaoona slaa alikuwa kichwa sana nawashangaa sanaHizo akili zilikuwepo enzi za CHADEMA ya akina Dr.
Hiki cha waandikisha magari ya chama kwa jina la Mwenyekiti, wako busy kuwaza 2020 watapataje tena dili la kuiuzia CCM kiti cha mgombea URAIS.
Hivi mask maana yake ni kuficha sura tu?vipi akimask miguu,mikono,tumbo na mgongo?Mask..inaficha sura si vingine...
Siasa ambazo naziunga mkono 100% Ili watu waamke next time hao wajinga upinzani wajifunze maana haya yasingetokea kama tungekua na upinzani makini tangu mwanzo badala ya wachumia tumbo
Teh Mzee Mwanakijiji kweli hili wazo fyatu
"Watu wasiojulikana" haimaanishi kweli hawajulikani bali ni nickname ya wahusika wenyewe kwenye vyombo vyetu
Acha kujitoa ufahamu .
Mwanakijiji uneshachoka akili sikuhizi huna jipya na mada zako za Lumumba zinaegemea Kwenye kujipendekeza
Ikitokea Mtu asiejulikana akawa ameingia kupiga tukio huku amevaa Mask itawezekanaje kumchora (sketch)?
Wacha hili wazo lako libaki tu fyatu kama ulivoliita.
Anzisha chama chako chenye upinzani makini tuje tujiunge.
Mpinzani wa kweli na mwenye msimamo alikua Mtikila peke yake tatizo hakupata ushirikiano na wanamageuzi wenzake. Tundu Lissu kabla hajawa mbunge na kuambukizwa virusi vya wakongwe wa siasa yule Lissu mwanaharakati siyo Lissu wa leo Kinyonga. Lissu mtetezi wa wana blyankuru waliofukiwa na serikali badhirifu ya kina mwinyi na mkapa. Mzee James Mapalala muanzilishi na mtetezi wa vyama vingi Tanganyika.Anzisha chama chako chenye upinzani makini tuje tujiunge.
Mpinzani wa kweli na mwenye msimamo alikua Mtikila peke yake tatizo hakupata ushirikiano na wanamageuzi wenzake. Tundu Lissu kabla hajawa mbunge na kuambukizwa virusi vya wakongwe wa siasa yule Lissu mwanaharakati siyo Lissu wa leo Kinyonga. Lissu mtetezi wa wana blyankuru waliofukiwa na serikali badhirifu ya kina mwinyi na mkapa. Mzee James Mapalala muanzilishi na mtetezi wa vyama vingi Tanganyika.
Hawa tulio nao wanaonekana wanamageuzi kwa vijana waliozaliwa 1990 wakati wa vyama vingi ni vizuri kuwaonea huruma sababu hawajui kuwa wanaowashabikia ndiyo wavurugaji wa siasa za vyama vingi wakiwasaidia ccm