Una akili sana wewe, umeconnect dots vizuri, nawaona wale wote waliokua na mawasiliano na HP wanapata kitu na box. Na huko HP alikofichwa anawataja wote. rip
Una akili sana wewe, umeconnect dots vizuri, nawaona wale wote waliokua na mawasiliano na HP wanapata kitu na box. Na huko HP alikofichwa anawataja wote. rip
Sawa wanaweza kuclean kwa sasa, lakini wajue tu watu wanapona maumivu ya 29 October, lakini ipo siku moto utawaka na hakuna atakaeweza kuuzima tena. Hawa Gen Z sio sawa na kizazi cha mwaka 47 kilicho madarakani.
Hivi mke wake bado ana duka la furniture pale palm village mikocheni
Nakumbuka wakati harrier sahv mnaziita anaconda mama alivuta ile rangi nyeupe brand new,kipindi hicho bei aliyoivuta alinambia dah ilikuwa above 100m eti sahv kila mtu hko ana miliki
Kuhusu kva megawat kwani yule mzee alikuwa na mambo mengi mbona alikuwa mkimya mgwasu
Mkuu