thread critic
Member
- Jul 17, 2012
- 71
- 14
Nahisi majina ya mawaziri yalipopendekezwa kwa JK kuna mtu kama avile alibadili kwa maana JM alitakiwa awe waziri halafu huyu Makame....
Soma hii article ya BBC
"Communication is everywhere in Tanzania," says Science Minister Makame Mbarawa. "All mobile phones around here have the internet.''
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-19451044
Ina maana waziri huyu wa JK hajui hata idadi ya watu wenye internet Tanzania au ndio mwendelezo wa Muungano uliotokana na visiwa vya Pemba na Zimbabwe?
Sasa January Makamba kama unasoma hii hebu mtumie waziri wako atuonyeshe ushahidi wapi katoa hii?
Hawa ndio mawaziri wa nchi hii ambao wako out of touch na jamii nzima ya nchi hii. Nina hakika hajawahi kufika hata hapo Rufiji.
Soma hii article ya BBC
"Communication is everywhere in Tanzania," says Science Minister Makame Mbarawa. "All mobile phones around here have the internet.''
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-19451044
Ina maana waziri huyu wa JK hajui hata idadi ya watu wenye internet Tanzania au ndio mwendelezo wa Muungano uliotokana na visiwa vya Pemba na Zimbabwe?
Sasa January Makamba kama unasoma hii hebu mtumie waziri wako atuonyeshe ushahidi wapi katoa hii?
Hawa ndio mawaziri wa nchi hii ambao wako out of touch na jamii nzima ya nchi hii. Nina hakika hajawahi kufika hata hapo Rufiji.