Mkuu uko sahihi kabisa, jamaa hajui kitu kazi kuingiza mikono mifukoni. Naibu wake mwelewa mno, huyu anajua injini za ngalawa tuNimegundua huyu waziri HAELEWI tofauti kati ya "INTERNET", na NETWORK. Huyu waziri me nilishamcheki muda mrefu ni kilaza ktk masuala ya Technology
Ni waziri gani ambae sio kilaza? wanatia aibu sana kwa watoto waoNimegundua huyu waziri HAELEWI tofauti kati ya "INTERNET", na NETWORK. Huyu waziri me nilishamcheki muda mrefu ni kilaza ktk masuala ya Technology