Waziri Mbarawa anashangaa kiwanja cha ndege Dar es Salaam kina chukua saa kuliko kupokea ndege mpya

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,609
8,736
Hawa watu ukiwatafakari utashangaa au kujiuliza sababu ya kuona manufaa upande Fulani.

Ni kwamba ndege bara hapa JK Zina ingia baada la lisaa kimoja kuliko ZNZ.

Usishangae hata Ili la bandari bado Lina maswali.

Ni kwamba waziri mbarawa kaona ni Bora kutuonesha hapa bara sio Bora.
---

"Airpot duniani kila baada ya dakika tano kuna ndege, Dar es salaam unaweza kukaa saa nzima hujaona ndege, kwa mtu wa kawaida unaona ile anga haijajaa na kawaida inaweza kuwa kila dakika tano unaona ndege, katika Tanzania Airpot ambayo iko busy ni Zanzibar siyo Dar es salaam, Zanzibar miruko ni mingi kuliko na yenyewe haijaja" - Profesa Makame Mbarawa, Waziri wa Uchukuzi.

"Customer Service bado na itaendelea kuwa hivyo kwa sababu moja tu demand ya watu tunaowahudumia sasa ni tofauti na mimi, vijana hawa wa dot com wanahitaji huduma ya leo ilikuwa ipatikane jana, wanataka kusikia mambo ya leo leo"

"Vijana hawa wanataka ndege ikichelewa leo uwe umempa taarifa tokea juzi hivi ndiyo inavyotakiwa, ndege inaweza kuchelewa lakini ni jinsi gani unamueleza mteja wako hiyo ni muhimu hasa wateja hawa (vijana)" - Profesa Makame Mbarawa, Waziri wa Uchukuzi.

1696272538003.png
 
Kwa kifupi ni kwamba kiwanja cha ndege AAKIA kipo busy sana kuliko JKNIA pale Amani ni kila baada ya dakika 5 ndege inashuka na kuondoka, hilo halina ubishi.

Sijui hapa Dar maana leo tu anga lilikuwa free sijasikia chombo kikishuka kabisa!.
 
Kwa kifupi ni kwamba kiwanja cha ndege AAKIA kipo busy sana kuliko JKNIA pale Amani ni kila baada ya dakika 5 ndege inashuka na kuondoka, hilo halina ubishi.

Sijui hapa Dar maana leo tu anga lilikuwa free sijasikia chombo kikishuka kabisa!.
Uchumi unaochechemea huu unaweza kuchochea usafiri wa anga kweli ?
 
Kwa kifupi ni kwamba kiwanja cha ndege AAKIA kipo busy sana kuliko JKNIA pale Amani ni kila baada ya dakika 5 ndege inashuka na kuondoka, hilo halina ubishi.

Sijui hapa Dar maana leo tu anga lilikuwa free sijasikia chombo kikishuka kabisa!.
Very true. Mwanzo mwa this year nilikaa pale Golden Tulip kwenye ile hotel yao mpya pembeni ya airport kama siku 3 na room yangu ilikua inaangalia airport. Yaani madege yanayoshuka pale sio hivi vidogovidogo kama vya ATCL. Ni ma Airbus na Boeing yanatua moja kwa moja. Nilijiuliza sikupataga majibu. Vindege vidogovidogo ndo vingi balaa. Nilipiga picha from my room ngoja nitafute
 
Kwa kifupi ni kwamba kiwanja cha ndege AAKIA kipo busy sana kuliko JKNIA pale Amani ni kila baada ya dakika 5 ndege inashuka na kuondoka, hilo halina ubishi.

Sijui hapa Dar maana leo tu anga lilikuwa free sijasikia chombo kikishuka kabisa!.
Zanzibar , uwanja lazima uwe bize kutokana na kuwa ni moja ya tourist dest. Halafu pia inakuwa rahisi kwa wale wanao connect safari kutokea malindi , ukunda na mombasa kwenda mauritius, madagascar na visiwa vya ushelisheli. Pia ndege za kutoka ghuba ya edeni kama omani na saudia, zinatua sana zanzibar kuliko hapo dsm.
 
Back
Top Bottom