Kule sauzi mkataba uliisha long,alirudi kushika chaki UDSM,baadae kikwete akamteuaAna haki. Tena namwomba asiamke asubuhi amkute huyo PS wake pale ofisini. Awe ameshakusanya kila kilicho chake aende makwao.
Prof. Muhongo ni mtu wa maana sana TZ. Ameombwa aje kushika wadhifa huo, yeye ana ofisi kulee Sauzi, we unampakia class gani eti. Sijui economy, economy gani wakati anaponda zake za mwisho wa Maccm? Unafikiri hajui ni za mwisho mwisho hizo?
Pengine alikuwa anaenda kuusaini mkataba wa vitalu kama 10 hivi kwa kabaila mmoja hukoo ni shs ngapi ataleta hazina. Pole sana Prof. Naomba tuwie radhi sisi tunaokaa huku uswazi tupe tu kaumeme kidogo kwa hisani yako. Hatujamtuma huyo PS wako akosee namna hiyo. Tusaidie tu baba sie Matonya wa huku uswazi tupate tone la umeme. Leo nakupa B/up Mhishimiwa, yule mgawaji kasahau huku kwetu hajakata tangu asubuhi. Huenda alifikiri ulisafiri.
MaSii sii eem Hoyeee 2015 is just very near. Mtayalamba matapishi yenu kwenye sanduku la kura tu
anahitaji mambi huyu
Kule sauzi mkataba uliisha long,alirudi kushika chaki UDSM,baadae kikwete akamteua
Lakini ungetuambia alilipia/alilipiwa class gani. Kama alilipiwa class ya juu kuliko ile ambayo wahudumu wa ndege wanamwonesha, naamini anayo haki ya "kulalamika"! Labda issue iwe ni namna ya "kulalamika"!
aibu sana kwa mh. Kutaka kuspend kiasi hicho wakati huku tunateseka na lim'galo lisilo na kichwa wala miguuu.... Sijui aliyekuchagua kuwa waziri alikuwa anawaza nini..... Shame on u
kule sauzi mkataba uliisha long,alirudi kushika chaki udsm,baadae kikwete akamteua
Ni sawa. Kama lilipia business class ilikuwaje alalamike tena?hakuna sehemu unalipia first unapewa business class mkuu
Ni sawa. Kama lilipia business class ilikuwaje alalamike tena?
Kama hii ni kweli tunatakiwa tuwe na sheria ya kuwaongoza hawa wehu.
Hakia mungu kweli hii nchi inatia aibu
wakati waziri wa uingereza akikata first class anaeleza sababu maalumu
huku leo kimetokea kituko
waziri wenu wa nishati ambae anazidi kutulaza na joto na giza leo amewaacha hoi
watanzania pale alipofika mpaka airport na akiwa anaboard akakuta anawekwa
sehemu ya bussiness pax....baada ya kuwaambia HAyuko first class akagoma na kutoka nje ya mlango
wakati hayo yakiendelea kumbe ana umati wa wenzake zaidi ya 9 wako economy na wawili
bussiness class ...gafla nao wakaanza kushuka
hapo ndipo hekima za mmoja wa wahusika wa airline akamwomba hao waende
then ye akabadilishe aje keshoo
jamani kweliii kweliii first class inakushushia aibu hivi prof
na bado unasema maisha
inaonekana zile buti za bora ulizivalia ukiwa form 5 haya ndio madhara yake mnapewa vyeoo wakati maisha yalishawapiga mnatafuta muafaka na yesu mkiwa madarakani
embu kuweni wastaarabu bana ...sasa wale watu 9 ulitaka kuwashusha kwa nini
na kama wamekwenda ulishindwa kuwambia wabaki mpaka mkaanza kuleta aibu uwanjani
2.inaonekena ndege m meanza kupanda uzeeni
najiuliza kivipi unaletewa tkt hata kama na travel agency alafu unashindwa kuuliza ama kukagua
mpaka unaenda uwanjani...unapewa bpass bado unashindwa kukagua ipi bussiness class bp..ipi first class loh so bad
loh
Kule sauzi mkataba uliisha long,alirudi kushika chaki UDSM,baadae kikwete akamteua