kama hii ni kweli tunatakiwa tuwe na sheria ya kuwaongoza hawa wehu.
haiwezekani akafanya hivyo. Huyu muhongo jina lake hasa ni mwijarubi, amesoma mennonite primary school sasa inaitwa mwembeni, musoma mjini. Aliferi darasa la nne. Alikuwa anakaa mtaa wa mwigobhero, mtaa wa kawawa kwenye nyumba ya matope bila sakafu, kama leo amefanya hivyo, kweli binadamu ni kiumbe wa ajabu sana. Mungu wangu amzidishie lakini akumbuke nyumbani kwake ni kwenye udongo ndiko ataishi milele.