Bahati mbaya imeeshia kuharibu uwezo wake wa kufikiri hata Magu nadhani ameliona hilo akamtoa kwenye sheriaIle sumu bora ingemng'oa kabisa.
Ipo wapi kikatiba au kisheriaKweli Elimu ni janga la kitaifa. Watu wenye asili ya pwani ya Afrika Mashariki ndio hujulikana kama waswahili.
Kwani ukiambiwa wewe ni mswahili utakuwa umetukanwa?Saed Kubenea ni Mswahili na ana asili ya kisiwa cha Mafia. Lakini hakukupewepo ulazima wa Ndugu Mwakyembe kutujumisha sisi waswahili kwenye kutoa matusi mazito dhidi yetu kwenye utetezi wake.
Kweli mkuu huyu ana mihemko ya kisiasa ina maana yeye hajawahi kumwambia mtu we ni mswahili...watanzania wote navyojua ni waswahili na neno mswahili kwa namna ta kitanzania ni mtu mjuaje...huyu mleta mada atafute lingine.Sijaona tusi hapo, mtu anaposema Kubenea ni mswahili wa ajabu anaelengwa sio mswahili na wala haimaanishi kuabuse uswahili, ni sawa na kusema Kubenea ni Mtanzania wa ajabu,isingemaanisha tusi kwa watanzania,ni tofauti na kusema watanzania ni watu wa ajabu,au waswahili ni watu wa ajabu.
Ni either umekusudia kulikuza jambo (exagerration) kwa kuongozwa na mihemko ya kisiasa au hujaelewa kiswahili.
Kwa hiyo hao " vyama vya upinzani" walikuwa wa-Ethiopia?Mkapa hakutukana watanzania usipotoshe alisema baadhi ya vyama vya upinzani
Yani huyu ameshindwa cha kuandika...kma nu mwanamke atakuwa mmmmm...na kma ni mwanaume...duuuh! Ni hatari mtaani...hlf mode kichwa cha habari cha uchochezi mtu kma huyu wanaachaje uzi wa uongo kma huuhakuna watu wanaitwa waswahili nchi hii acha kurukia mambo
Kutuaminisha fulani fisadi tumchukie halafu badae wanakuja ungana nae tena kumpa kiti watu walokipigania kwa shida!!..CDM waliwatukanaje hebu litaje hilo tusi..
Ndio watu wowote ambao hawana uzarrendo wa nchi yetu sio watanzaniaKwa hiyo hao " vyama vya upinzani" walikuwa wa-Ethiopia?
Huyu ni waziri mwandamizi kwenye wizara nyeti sana ya Habari.
kafanya mahojiano na Radio ya Ujerumani kuhusiana na suala la kufungiwa kwa gazeti linalomilikiwa na Said Kubenea.
Mwisho wa mahojiano yake waziri aliamua kuwatusi waSwahili.
Waziri huyu aliteuliwa na Rais Magufuli na alikula kiapo cha utumishi wa Umma kuwa atatumikia wananchi wa Tanzania pasipo upendeleo,madharau na kwa haki. Hii dhamana aliyopewa ni kubwa mno na sielewi kwa nini amekuwa ujasiri wa kutukana jamii moja ya watanzania kwenye suala la kikazi.
Sisi waswahili tupo na ni raia kama raia wengine. Tuna mapungufu yetu kama wengine na pia tuna mazuri yetu. Lakini tunatoa tahadhari kuwa watu waliopewa dhamana ya uongozi nchi hii wawe makini kwenye matamshi yao kwa sababu kuna uwezekano kesho
Ndugu Mwakyembe, alikuwa na haki ya kujitetea kuhusu hatua ya kulifungia gazeti lakini kwenye utetezi wake kaamua kuvuka mipaka.
Saed Kubenea ni Mswahili na ana asili ya kisiwa cha Mafia. Lakini hakukupewepo ulazima wa Ndugu Mwakyembe kutujumisha sisi waswahili kwenye kutoa matusi mazito dhidi yetu kwenye utetezi wake.
Tutuma barua rasmi ya kulalamika kwa Rais na vyombo vyote vya dola kuhusu matamshi ya ndugu mwakyembe.
Na mma yako hana thamani!!Huyo naye mma tu kama mma wengine.
Sawa mma kiongoziNa mma yako hana thamani!!
Naona imekugusa safi sana.muosha huoshwaSawa mma kiongozi