AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,061
- 4,290
Kha! kwani wewe ndio CCM! wewe ni tool tu ya wana CCM kufikia malrngo yao.Hivi ni lazima uiseme CCM badala ya mtu mmoja kama yeye binafsi!!?...Mbona CDM nao walitutusi 2015!..
Kha! kwani wewe ndio CCM! wewe ni tool tu ya wana CCM kufikia malrngo yao.Hivi ni lazima uiseme CCM badala ya mtu mmoja kama yeye binafsi!!?...Mbona CDM nao walitutusi 2015!..
Nia ya Mwakyembe alitaka kumaanisha kubenea hajasoma ni mswahili tu kama wakina Msukuma[/QUOTE
Ok,ila mimi naona ni heri mtu akwambie hujasoma kuliko akwambie huna elimu,manake kusoma ni darasani lakini elimu hukaa kichwani kutokana na kujifunza either kupitia darasani au hata kupitia uzoefu wako katika mambo mbali mbali,kwa hiyo unaweza hata kuwa na PHD lakini hujaelimika (na hapa ni haki kwa walimwengu kukucheka), lakini mwingine akawa hajasoma lakini kichwani kukawa na elimu kubwa kuliko hata aliesoma kwa kiwango cha PHD (huyu huwezi kumcheka kwa kuwa inawezekana jambo la kutokusoma lilikuwa nje ya uwezo wake).
Hapa nataka kumaanisha kwamba kama kamwambia hana elimu ni DONGO ZITO kuliko kumwambia hajasoma, kwa hiyo basi tushukuru amemwambia hajasoma kuliko angemwambia hana elimu.
Mswahili lugha yake ya kuzaliwa ni Kiswahili, lugha nyingine atazijua kwa kujifunza, aghalabu hutokea maeneo ya Mwambao.
- Mbona sisi Watanzania wote ni Waswahili! Shida iko wapi?
- Nijuavyo mimi Mswahili ni mtu anayetumia Lugha ya Kiswahili
Hacha unafiki wewe mleta hoja ebu toa nukuu ya matusi aliyotoa kwa waswahili. Au lete audio lasivyo utakuwa umetumwa na kuleta ushilawadu hapa.Huyu ni waziri mwandamizi kwenye wizara nyeti sana ya Habari.
kafanya mahojiano na Radio ya Ujerumani kuhusiana na suala la kufungiwa kwa gazeti linalomilikiwa na Said Kubenea.
Mwisho wa mahojiano yake waziri aliamua kuwatusi waSwahili.
Waziri huyu aliteuliwa na Rais Magufuli na alikula kiapo cha utumishi wa Umma kuwa atatumikia wananchi wa Tanzania pasipo upendeleo,madharau na kwa haki. Hii dhamana aliyopewa ni kubwa mno na sielewi kwa nini amekuwa ujasiri wa kutukana jamii moja ya watanzania kwenye suala la kikazi.
Sisi waswahili tupo na ni raia kama raia wengine. Tuna mapungufu yetu kama wengine na pia tuna mazuri yetu. Lakini tunatoa tahadhari kuwa watu waliopewa dhamana ya uongozi nchi hii wawe makini kwenye matamshi yao kwa sababu kuna uwezekano kesho
Ndugu Mwakyembe, alikuwa na haki ya kujitetea kuhusu hatua ya kulifungia gazeti lakini kwenye utetezi wake kaamua kuvuka mipaka.
Saed Kubenea ni Mswahili na ana asili ya kisiwa cha Mafia. Lakini hakukupewepo ulazima wa Ndugu Mwakyembe kutujumisha sisi waswahili kwenye kutoa matusi mazito dhidi yetu kwenye utetezi wake.
Tutuma barua rasmi ya kulalamika kwa Rais na vyombo vyote vya dola kuhusu matamshi ya ndugu mwakyembe.
Nywele ziling'oka mkuu. Kwani ulipenda nini zaidi king'oke? Hahahahaaa!Ile sumu bora ingemng'oa kabisa.
Sijajua kama kuna kabila la waswahili Tanzania,ila nachojua wako Kenya,na sioni sababu ya kuita majina ya kikabila kwenye siasa zetu.Huyu ni waziri mwandamizi kwenye wizara nyeti sana ya Habari.
kafanya mahojiano na Radio ya Ujerumani kuhusiana na suala la kufungiwa kwa gazeti linalomilikiwa na Said Kubenea.
Mwisho wa mahojiano yake waziri aliamua kuwatusi waSwahili.
Waziri huyu aliteuliwa na Rais Magufuli na alikula kiapo cha utumishi wa Umma kuwa atatumikia wananchi wa Tanzania pasipo upendeleo,madharau na kwa haki. Hii dhamana aliyopewa ni kubwa mno na sielewi kwa nini amekuwa ujasiri wa kutukana jamii moja ya watanzania kwenye suala la kikazi.
Sisi waswahili tupo na ni raia kama raia wengine. Tuna mapungufu yetu kama wengine na pia tuna mazuri yetu. Lakini tunatoa tahadhari kuwa watu waliopewa dhamana ya uongozi nchi hii wawe makini kwenye matamshi yao kwa sababu kuna uwezekano kesho
Ndugu Mwakyembe, alikuwa na haki ya kujitetea kuhusu hatua ya kulifungia gazeti lakini kwenye utetezi wake kaamua kuvuka mipaka.
Saed Kubenea ni Mswahili na ana asili ya kisiwa cha Mafia. Lakini hakukupewepo ulazima wa Ndugu Mwakyembe kutujumisha sisi waswahili kwenye kutoa matusi mazito dhidi yetu kwenye utetezi wake.
Tutuma barua rasmi ya kulalamika kwa Rais na vyombo vyote vya dola kuhusu matamshi ya ndugu mwakyembe.
Mkapa hakutukana watanzania usipotoshe alisema baadhi ya vyama vya upinzaniCCM kuwatukana watanzania ndio zao Mkapa alisema wapumbavu na malofa kwa hiyo anachofanya huyo waziri n8 marudio tu
Mkapa hakutukana watanzania usipotoshe alisema baadhi ya vyama vya upinzani
CDM waliwatukanaje hebu litaje hilo tusi..Hivi ni lazima uiseme CCM badala ya mtu mmoja kama yeye binafsi!!?...Mbona CDM nao walitutusi 2015!..
Vyama vya upinzani wa nchi gani???Tafadhali unijibu halafu nikuelewesheMkapa hakutukana watanzania usipotoshe alisema baadhi ya vyama vya upinzani
Hapo ndipo hutawaonaCDM waliwatukanaje hebu litaje hilo tusi..
Kweli Elimu ni janga la kitaifa. Watu wenye asili ya pwani ya Afrika Mashariki ndio hujulikana kama waswahili.hakuna watu wanaitwa waswahili nchi hii acha kurukia mambo