HUSSEN KAMBI
Senior Member
- Dec 4, 2023
- 175
- 212
Waziri wa ajabu sana tena sana khasa kwa nchi yetu nieleweke nimesema kwa nchi yetu ambayo viongozi wengi wanajitoa akili hili wabaki kwenye teuzi lakini ajabu ya huyu waziri anajiuzulu mwenyewe kwasababu pombe zimepungua wenzake wanajitoa akili hili kubaki kwenye nafasi zao kwa nchi zingine zinazojali utawala wa sheria ni sawa kwa waziri kujiuzuru mwenyewe lakini sio kwenye nchi hii ya machawa hongera kwake kwa aliekua waziri mh simai nina amini wenzako watakuiga kwani mawaziri wote wa bara na visiwani hawautendei haki uwaziri wao wote wameacha kufanya kazi wamebaki kwenye uchawa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app