Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,200
- 162,758
Hali ya waziri wa fedha,Dk.William Mgimwa imeelezwa kuwa ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya Milpark nchini Afrika kusini tangu mwishoni mwa wiki iliyopita.
Habari imeripotiwa na Gazeti la Raia Mwema ambalo limenukuu vyanzo kutoka serikalini.Pia imeelezwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha,Dk.Likwelile, alikwenda Afrika Kusini siku ya Jumatatu iii kufuatilia hali ya waziri wake.
CHANZO:Raia Mwema.
na bado mtanzania anabebeshwa garama za katibu mkuu kwenda kumnjulia hali waziri wake Tanzania kuna mambo !!!!
!
hivi mleta uzi unajua maana ya mahututi au unapost tu, hebu nenda muhimbili kaangalie watu mahututi ambao pia hawana hata matumaini ya kumwona daktari. Mahututi Afrika Kusini mbona poa tu na sio habari kabisa
!
!
hivi mleta uzi unajua maana ya mahututi au unapost tu, hebu nenda muhimbili kaangalie watu mahututi ambao pia hawana hata matumaini ya kumwona daktari. Mahututi Afrika Kusini mbona poa tu na sio habari kabisa
!
!
hivi mleta uzi unajua maana ya mahututi au unapost tu, hebu nenda muhimbili kaangalie watu mahututi ambao pia hawana hata matumaini ya kumwona daktari. Mahututi Afrika Kusini mbona poa tu na sio habari kabisa
!
!
hivi mleta uzi unajua maana ya mahututi au unapost tu, hebu nenda muhimbili kaangalie watu mahututi ambao pia hawana hata matumaini ya kumwona daktari. Mahututi Afrika Kusini mbona poa tu na sio habari kabisa
wish him a quick recovery.
Hali ya waziri wa fedha,Dk.William Mgimwa imeelezwa kuwa ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya Milpark nchini Afrika kusini tangu mwishoni mwa wiki iliyopita.
Habari hii imeripotiwa na Gazeti la Raia Mwema la tarehe 04/12/2014 ambalo limenukuu vyanzo kutoka serikalini vikidai hali ya waziri huyo ni mbaya.Pia, imeelezwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha,Dk.Likwelile, alikwenda Afrika Kusini siku ya Jumatatu iii kufuatilia hali ya waziri wake.
CHANZO:Raia Mwema.