Waziri wa Elimu Shukuru Kawamba unatia aibu

Nyie hamjui cku hizi hata doctorate watu wanaforge?huyu kilaza tu,kama ndugu yake jk.afu tangu liingie wizaran matatizo yanaongezeka tu!

Mkuu Kawambwa ni profesho injinia tena ana PhD ya ukweli. Simkubali utendaji wake bali naikubali elimu yake
 
Zoba,mawazo yako yanafanana na jina lako+ huyo waziri wote ni mazoba sikwea!
 
hawa mawaziri wanatutia aibu sana membe hakuenda Malawi kutafta suruhu ya mpaka huyu naye ndio anakataa kuongea kwenye nafasi yake kama waziri mhusika wa elimu JK uliokota wapi hizi mbengu ambazo hazioti hata kwenye rutuba?
 
Hayo ndio matunda ya kupeana vyeo kishkaji bila kujali uwezo. Kwa lugha rahisi tunasema 'kaishia mitini'. Unadhani angekuwa Dr. Slaa hayo yangetokea?
 
sio kila mtu anafaa kuwa kiongozi wa uma. kuna wengine wanafaa kuongoza familia zao tu. kukubali kuwa huna uwezo na jukumu fulani ni sifa kuwa una uwezo wa kuelewa mambo.

afadhali tusaidie maanake mwezetu huyu,dah! Sio kabisa
 
dah amesikika akisema hayo maneno live? dah kwa nchi za wenzetu ni bonge la scandal inabidi aombe radhi ni aibu kubwa sana halafu maboss wake walivyo wa ajabu hawatamchukulia hatua. tulishasema maadili hayakuanza kutoka kwa vijana ni haya haya mijitu mizima tunayapa nafasi tukifikiri yana busara kumbe ni empty.
 
Bagamoyo ni maarufu kwa NAZI, Biashara ya Utumwa (historia), Wachawi wa Mlingotini na Bahari ya Hindi.
 
Asubuhi ya leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha BBC NA radio one walikuwa wanazungumzia elimu nchini Tanzania kama inakidhi viwango.kwaujumla walijaribu kugusa karibu wadau muhimu wakiwemo walimu, wanafunzi,wachapishaji wa vitabu,maafisa elimu halmashauri,wazazi na shirika la uwezo linalofanya tafiti kuhusu elimu.kwa ujumla wameonyesha mapungufu.ilipofika zamu ya waziri wa elimu akasema hana muda wa kuzungumza,kwakweli iliniuma sana kwa aliharibu ladha nzima ya mada.pia najiuliza ni kweli hana muda wa kuzungumza?je anataka muda gani? Dr mzima kweli unakosa cha kuzungumza?
ndo shida ya tanzania na kupeana vyeo kirafiki
 
moja ya product nyingi mbovu kutoka [SUP]udsm[/SUP] ni shukuru
Mhhhhh kaka yaani unataka kutuaminisha kuwa wataalam ambao nchi imewapata kupitia UDSM kabla ya kuwepo na vyuo vingi vya kata wengi wao ni wabovu? Fuatilia University and Colleges Ranking ujielimishe kwa hili.
It is a State University mkuu. Let us give its deserving respect
 
Siku nyiiinga nilishamuona huyu jamaa kuwa hamna kitu!Hata U-DC,Hawezi!Nasikia anapewa hizo nafasi sababu kuna ukaribu namkuu wanchi!!

Leo nilimwona kwenye Tv moja akitetea kwamba serikali haina mpango wa kufuta maswali ya kuchagua kwa wanafunzi wa msingi na sababu alizotoa ni hizi;

  • Wanaokoa muda wa kusahihisha
  • Pili wasahihishaji wanasahihishi jibu sahihi tofauti kama maswali yamgekuwa ya kujaza
  • Wanaokoa gharama ya usahihishaji
  • Mfumo unasaidia kupata idadi kubwa ya wanafunzi wa serikali
Sasa kwa style hii mwanafunzi wa primary ukimpa maswali ya multiple choice kweli utamjenga maana kwa mwanafunzi wa chuo sawa maana ni mtu mzima anaweza kuwa serious na kukokotoa kabla ya kujaza A au B au C na ndio maana wanafunzi wanaingia form one hawajui kusoma na kuandika kwa kuwa wengine wanapata zali kwa kubahatisha kujaza
 
Shule ya msingi janjajanja imefaulisha wanafunzi WOTEE!!?!! NAFADHAIKA sana na ninajutia pia nnapojaza sehemu ya nationality ktk internet-MTANZANIA......
 
hawa mawaziri wanatutia aibu sana membe hakuenda Malawi kutafta suruhu ya mpaka huyu naye ndio anakataa kuongea kwenye nafasi yake kama waziri mhusika wa elimu JK uliokota wapi hizi mbengu ambazo hazioti hata kwenye rutuba?

Labda zimekosa Maji/unyevu!
 
Back
Top Bottom