Asubuhi ya leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha BBC NA radio one walikuwa wanazungumzia elimu nchini Tanzania kama inakidhi viwango.kwaujumla walijaribu kugusa karibu wadau muhimu wakiwemo walimu, wanafunzi,wachapishaji wa vitabu,maafisa elimu halmashauri,wazazi na shirika la uwezo linalofanya tafiti kuhusu elimu.kwa ujumla wameonyesha mapungufu.ilipofika zamu ya waziri wa elimu akasema hana muda wa kuzungumza,kwakweli iliniuma sana kwa aliharibu ladha nzima ya mada.pia najiuliza ni kweli hana muda wa kuzungumza?je anataka muda gani? Dr mzima kweli unakosa cha kuzungumza?