Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Nimepigwa na butwaa kusikia Waziri wa Afya akisema kuwa matamko juu ya Covid 19 basi. Maana viongozi wakuu wameshatoa matamko sasa kila mtu achukue wajibu wa kujilinda.
Hivi hili gonjwa linahitaji matamko au elimu endelevu na kukumbusha wananchi kuwa makini mara kwa mara?
Wewe kama waziri mwenye dhamana na afya za Watanzania, unalichukulia vipi hili gonjwa?
Kwamba waziri mkuu na rais wakisema watu wavae barako na kunawa mikono ndio inatosha?
Wewe ni mwenye dhamana na afya za Watanzania, kuwa makini na jinsi unavyolichukulia poa hili gonjwa
Hivi hili gonjwa linahitaji matamko au elimu endelevu na kukumbusha wananchi kuwa makini mara kwa mara?
Wewe kama waziri mwenye dhamana na afya za Watanzania, unalichukulia vipi hili gonjwa?
Kwamba waziri mkuu na rais wakisema watu wavae barako na kunawa mikono ndio inatosha?
Wewe ni mwenye dhamana na afya za Watanzania, kuwa makini na jinsi unavyolichukulia poa hili gonjwa