hamna safari za ulaya na biashara ya kushinda kwenye maofisi na miradi binafsi hakuna tena kilichobaki ni kuwatumikia watanzania kwa kutembelea kila mahali waziri anapohusika.
hivyo sidhani kama wanauza sura ila ni amri toka kwa aliye wateua kwamba matatizo ya watanzania yatatuliwe na viongozi wao.
mwanzo mzuri,tuwaombee wafanikishe ili tusonge mbele.
Wanakosa ubunifu so wanaenda kwa kuiga tu, Na kwa kutaka sifa watahangaika Dar kwenye uhakika wa vyombo vya habari ila hawana ubunifu kabisa wa kuweza kuchukua point 3 kirahisi
rais, waziri wa afya, naibu waziri na katibu mkuu wa wizara ya afya wafanye safari ya kushitukiza Mirembe, waingie kwenye wodi ya vichaa, nahisi kale ka dada mlinzi katapenya kwenye tundu la funguo kuokoa maisha yake
Na hizi picha wanazozituma kwenye mitandao wakionyesha ndugu zetu wakiwa nusu uchi mahospitalini sidhani kama ni sahihi. Watafute namna nyingine ya kupata kick lakini hivi naona kama sio sawa kimaadili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.