Huko international unafikiri wanavaa uniforms??Watoto wa ummy wanasoma international wenzao wanaambiwa msivae sare vaeni yeboyebo nchi hii bado tupo Karne 15
Ummy nae yuko vizuri Sana#Hakika awamu ya sita ni kazi kazi
Samia Jembe sana===
Waziri wa TAMISEMI, Mhe Ummy Mwalimu amekemea utozaji wa michango mbalimbali kwa Wanafunzi Shuleni sanjari na vitendo vya baadhi ya Walimu kuwazuia Wanafunzi kuingia Shuleni kwa kukosa sare na mahitaji mengine yanayohitajika Shuleni hapo.
Amesema vitendo hivyo havikubaliki na kwamba Walimu hao wanapaswa kuwa na huruma kwa Wazazi na Walezi wa Watoto hao na kwamba wanapaswa kuhakikisha wanaepuka kuwakwamisha Watoto hao kusoma.
"Walimu wasiweke vikwazo kwa Watoto wanaoanza darasa la kwanza, Katibu Mkuu hakikisha unaandika waraka wa utaratibu, tunataka Shulr zinapofunguliwa January Watoto 90007 wa kidato cha kwanza waanze Shule"
Katika kulisisitiza hilo Waziri Ummy amesema anatafuta Shule mbili au tatu za kutolea mfano endapo zitabainika kutenda kosa hilo na kusisitiza kuwa Wazazi hawapaswi kubebeshwa mzigo kwa kuwa Serikali ilishaweka utaratibu wa elimu bila ada.
"Sitaki kuona Mwanafunzi amerudishwa kwasababu ya michango na kwa hawa wanaonza kidato cha kwanza hata kama hawana sare ya Shule aliyochaguliwa asirudishwe bali apewe muda”Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu akihutubia kwenye Mkutano Mkuu wa 16 wa Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari za Serikali na Binafsi leo Dar es salaam
View attachment 2045856
Kwanini chiefNchi ina watu wa hovyo sana...
===
Waziri wa TAMISEMI, Mhe Ummy Mwalimu amekemea utozaji wa michango mbalimbali kwa Wanafunzi Shuleni sanjari na vitendo vya baadhi ya Walimu kuwazuia Wanafunzi kuingia Shuleni kwa kukosa sare na mahitaji mengine yanayohitajika Shuleni hapo.
Amesema vitendo hivyo havikubaliki na kwamba Walimu hao wanapaswa kuwa na huruma kwa Wazazi na Walezi wa Watoto hao na kwamba wanapaswa kuhakikisha wanaepuka kuwakwamisha Watoto hao kusoma.
"Walimu wasiweke vikwazo kwa Watoto wanaoanza darasa la kwanza, Katibu Mkuu hakikisha unaandika waraka wa utaratibu, tunataka Shulr zinapofunguliwa January Watoto 90007 wa kidato cha kwanza waanze Shule"
Katika kulisisitiza hilo Waziri Ummy amesema anatafuta Shule mbili au tatu za kutolea mfano endapo zitabainika kutenda kosa hilo na kusisitiza kuwa Wazazi hawapaswi kubebeshwa mzigo kwa kuwa Serikali ilishaweka utaratibu wa elimu bila ada.
"Sitaki kuona Mwanafunzi amerudishwa kwasababu ya michango na kwa hawa wanaonza kidato cha kwanza hata kama hawana sare ya Shule aliyochaguliwa asirudishwe bali apewe muda”Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu akihutubia kwenye Mkutano Mkuu wa 16 wa Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari za Serikali na Binafsi leo Dar es salaam
View attachment 2045856
Kwanini chief
Aliye buni uniform alizijua akili za watoto.Kwani uniform ndo zinasoma?
Umechambua vizuri Sana mkuuHizi kauli mbona si mpya, tatizo liko wapi?.
Miezi kadhaa nyuma mapema asubuhi nilikutana na Kijana mdogo akiwa amevaa sare za shule ambazo zilikuwa zinasadifu tosha hali ya kiuchumi ya familia anayotokea.
Mtoto yule alikuwa anakwenda kama hataki huku usoni akionekana analia hivyo nikavutika kumuhoji kujua kulikoni...akasema Mama yake amempiga kwa sababu alikuwa anakataa kuondoka nyumbani bila kupewa mia tano ya mchango shuleni ambako nako akifika bila ya hiyo hela Mwalimu husika anamchapa.
Nilimpa mia tano na kumwambia akimbie awahi shuleni, walau akabadilika na kuonesha matumaini.
Hapa unaweza kuona Mtihani anaoupata Mtoto kama huyu wa darasa la kwanza tu ambaye hata kwa kumuangalia inaonesha kabisa kama hata amepata kifungua kinywa ni bahati....hivi kwa nini huyo Mwalimu asivae viatu vya huyu Mtoto?. Mwalimu anapata wapi msukumo wa kumshinikiza Mtoto alete hiyo mia tano kwa kumpiga yeye Mtoto anayepaswa kusubiri apewe pesa na Mzazi?.
Hapo huwa najiuliza Mwalimu anapoamua kumuadhibu Mtoto hivi ni kwamba hatumii akili kumbebesha Mtoto matatizo yasiyomuhusu? tena bila hata kujali hali ya huyo Mtoto mwenyewe.
Je kwa kauli hii ya Waziri itabadilisha nini ambacho hakijawahi kutamkwa kabla?.
Akajua hata vidato vingine itakua hivyoNi kwa form One tu mkuu
Hakusoma vizuri nadhaniAkajua hata vidato vingine itakua hivyo