Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,171
- Thread starter
- #101
Unaakili sana wewe mjomba,Uniform ndo zina soma? Vipi nchi ambazo hawavai kabisa uniform wao wanasoma vipi? Ficha ujinga wako
Unaakili sana wewe mjomba,Uniform ndo zina soma? Vipi nchi ambazo hawavai kabisa uniform wao wanasoma vipi? Ficha ujinga wako
Nchi ngumu sana hii mkuu
Hizi zote hazitakuwepo tenaHata hivyo kuna baadhi ya shule kila wiki wanawatoza wazazi 1500 kama ada ya mtihani wa majaribio mtoto asiyetoa hafanyi na hata huu mtihani wa muhula wapili wazazi wametoa pesa kwaajili ya mtihani.
Daaah tuUchumi wa kati hawawezi kugawa sare bure maana elimu tuliambiwa ni bure kuanzia awamu ya 5 na kwamba wasiotakiwa shule ni waliozaa tu
DaaahTujitafakari haya mambo eti tupo uchumi wa kati. Ukweli usemwe uzazi wa mpango kuwapotosha watu elimu bure, huduma afya zimeboreshwa mfyatuane!!!
daaahKwa hiyo serikali itawanunulia?
100%√" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
Ummy unafanya vizuri sana===
Waziri wa TAMISEMI, Mhe Ummy Mwalimu amekemea utozaji wa michango mbalimbali kwa Wanafunzi Shuleni sanjari na vitendo vya baadhi ya Walimu kuwazuia Wanafunzi kuingia Shuleni kwa kukosa sare na mahitaji mengine yanayohitajika Shuleni hapo.
Amesema vitendo hivyo havikubaliki na kwamba Walimu hao wanapaswa kuwa na huruma kwa Wazazi na Walezi wa Watoto hao na kwamba wanapaswa kuhakikisha wanaepuka kuwakwamisha Watoto hao kusoma.
"Walimu wasiweke vikwazo kwa Watoto wanaoanza darasa la kwanza, Katibu Mkuu hakikisha unaandika waraka wa utaratibu, tunataka Shulr zinapofunguliwa January Watoto 90007 wa kidato cha kwanza waanze Shule"
Katika kulisisitiza hilo Waziri Ummy amesema anatafuta Shule mbili au tatu za kutolea mfano endapo zitabainika kutenda kosa hilo na kusisitiza kuwa Wazazi hawapaswi kubebeshwa mzigo kwa kuwa Serikali ilishaweka utaratibu wa elimu bila ada.
"Sitaki kuona Mwanafunzi amerudishwa kwasababu ya michango na kwa hawa wanaonza kidato cha kwanza hata kama hawana sare ya Shule aliyochaguliwa asirudishwe bali apewe muda”Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu akihutubia kwenye Mkutano Mkuu wa 16 wa Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari za Serikali na Binafsi leo Dar es salaam
View attachment 2045856