G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Naona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6