Zamani alikuwa kama GHASIA.Waziri hovyo kuwahi tokea kwani alikuwa hajui anaongoza nini!Amebadilika? kwani alikuwaje?
Namfahamu kwa kiasi Ummy ni MTU wa jazba (Ukiacha mbali msongo binafsi hasa aliokua anasabbishiwa na yule jamaa wa ugaibuni) pengine watu wengi wanashindwa kumuelewa!Zamani alikuwa kama GHASIA.Waziri hovyo kuwahi tokea kwani alikuwa hajui anaongoza nini!
Ni kweli kabisa Ummy Mwalimu anapiga kazi sana. Namkubali sana Waziri yule.Naona Ummy Mwalimu ameweza kubadilika na amekuwa mfuatiliaji mzuri wa issues katika sekta ya afya.
Naamini ameweza kujenga hoja hadi bajeti ya dawa kupanda vilivyo.
Tumpe hongera zake.
Alisema Ummy kaporwa mume na shoga yake, na yule mzee alipenda toto la kishombe kuliko Ummy ingawa alionja.Namfahamu kwa kiasi Ummy ni MTU wa jazba (Ukiacha mbali msongo binafsi hasa aliokua anasabbishiwa na yule jamaa wa ugaibuni) pengine watu wengi wanashindwa kumuelewa!
Wasipotoa pesa wanaandikiwa panadol iwe malaria au tumbo la kuharishaBado suara la wazee kutibiwa bure ni siasa tu.... maana naina wazee wenye zaidi ya miaka 60 wanatizwa pesa..... kama yupo serius kwann asiandike barua kwa mahospitali yoke kutibu wazee bure???
Ni miongoni mwa mawaziri wachache wanaojiamini sana awamu hii.Ni nini kinaweza kuwa nyumba ya komfo hilo?Alisema Ummy kaporwa mume na shoga yake, na yule mzee alipenda toto la kishombe kuliko Ummy ingawa alionja.
Kuna namna ngoja tusubiri, time will tellNi miongoni mwa mawaziri wachache wanaojiamini sana awamu hii.Ni nini kinaweza kuwa nyumba ya komfo hilo?
Ni ukaribu wake na mtukufuNi miongoni mwa mawaziri wachache wanaojiamini sana awamu hii.Ni nini kinaweza kuwa nyumba ya komfo hilo?
Mbna niliskia Ni chakula ya kikwete!Alisema Ummy kaporwa mume na shoga yake, na yule mzee alipenda toto la kishombe kuliko Ummy ingawa alionja.
"Mswahili" typicalMama huyu mbeya sijawah ona