Waziri Ummy Mwalimu amebadilika apongezwe!

Waziri Ummy Mwalimu amebadilika apongezwe!

Zamani alikuwa kama GHASIA.Waziri hovyo kuwahi tokea kwani alikuwa hajui anaongoza nini!
Acha ujinga kipindi cha Hawa Ghasia kama Waziri utumishi kila mwaka mshahara, posho,marupurupu na madaraja yalipanda na ajira mpya zaidi ya elfu thelathini zilitolewa. Tatizo mmezoea kuchungwa kama kondoo na kuona mtu anaongea kwa ukali ndio mnaona kuwa ndio kiongozi bora na mzuri. Hawa Ghasia ni bora kuliko Kairuki au Mkuchika.
 
Hivi huyo mwanamama Umy anamatege au ndo maringo ya kutembea?
 
Ataacha kuwa mpole na anaona mwenzie kamzidi kete mwezi ujao ananyonyesha yeye atasubiri sana
 
Hamna kitu ni matamko tu bila ufatiliaji,,, mwez uloisha alifoka mbele ya camera kuwa kila hospitali na zahanati lazma ziwe na folic acid, sp na albendazole kwa ajili ya mama wajawazito

Mwezi huo huo nimempeleka wife clinic hizo dawa hazikuwepo

Ukiuliza wahusika wanakwambia msd wamegawa dawa ila hizo hazikuwepo,,, upuuzi mtupu!
 
Hahaahaaa haahaa
Aise hatareee watu mna macho yule si anavaa nguo mpaka chini matege uliyaona vipi au ule mwendo wakunesa kama anatembea juu ya sponji[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Duhh,watu wachunguz kwel,mm sijawah kuon matege ila itabid nitafute miwani nivae nione vzr
 
Namfahamu kwa kiasi Ummy ni MTU wa jazba (Ukiacha mbali msongo binafsi hasa aliokua anasabbishiwa na yule jamaa wa ugaibuni) pengine watu wengi wanashindwa kumuelewa!
hiki ulicho type ndicho ulichodhamiria ku post? hapo ulidhamiria ku type Ummy au Hawa?
 
Mjadala umekaa kama story za saloon!
Kweli JF imepatwa siku hizi. Nimefuatilia comments , nikaishia kutikisa kichwa.
 
Naona Ummy Mwalimu ameweza kubadilika na amekuwa mfuatiliaji mzuri wa issues katika sekta ya afya.

Naamini ameweza kujenga hoja hadi bajeti ya dawa kupanda vilivyo.

Tumpe hongera zake.
Apongezwe kwamba anayofanya hayakuwa sehemu ya wajibu wake?
 
Bado suara la wazee kutibiwa bure ni siasa tu.... maana naina wazee wenye zaidi ya miaka 60 wanatizwa pesa..... kama yupo serius kwann asiandike barua kwa mahospitali yoke kutibu wazee bure???
Hilo ni swala la kuripoti kwa DMO na litashughulikiwa
 
Wasipotoa pesa wanaandikiwa panadol iwe malaria au tumbo la kuharisha
Acha uongo wa kizamani...dawa za malaria zipo bwerere na dawa za matumbo ya kuhara kama cotrimoxazole na ciprofloxacin zinapatikana sana.
 
Hamna kitu ni matamko tu bila ufatiliaji,,, mwez uloisha alifoka mbele ya camera kuwa kila hospitali na zahanati lazma ziwe na folic acid, sp na albendazole kwa ajili ya mama wajawazito

Mwezi huo huo nimempeleka wife clinic hizo dawa hazikuwepo

Ukiuliza wahusika wanakwambia msd wamegawa dawa ila hizo hazikuwepo,,, upuuzi mtupu!
Ulimpeleka hospitali au kliniki gani?
Hata hivyo ulimsikiliza jana kuhusu data za hospitali zinaonesha mahitaji ya dawa ni let say 6000 tins of amoxicillin while true request kutoka hospitali hizo hizo ni 18000 tins kwa mwaka?
Nilichofurahi ni yeye kulitambua hili na kuamua kulivalia njuga.Hakuna waziri wa afya aliyejaribu kulifikiria suala hili kwa approach hii na ninaamini akikomaa tutafika sana.
 
Apongezwe kwamba anayofanya hayakuwa sehemu ya wajibu wake?
Kwani mtu hupongezwa kwa kufanya kisicho wajibu wake?Anapolaumiwa huwa analaumiwa kwa kutekeleza wajibu wake pia.
 
Back
Top Bottom