Waziri Sospeter Muhongo On People’s Power

Waziri Sospeter Muhongo On People’s Power

Mchambuzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2007
Posts
4,850
Reaction score
9,436
Katika kipindi cha Dakika 45 Cha ITV leo usiku, Waziri wa Nishati na Madini Professor Sospeter Muhongo amezungumzia dhana ya People's Power ya Chadema na kusema kwamba, ametoa ushauri panapohusika kwamba PEOPLE'S POWER is very narrow and counterproductive in terms of socio-economic development in Tanzania; Hivyo amependekeza suala hili liwe broadened zaidi into other areas, without removing people from the centre;

Prof ameonyesha kukubali umuhimu wa kuendelea kuweka PEOPLE at the centre lakini in a much broader perspective kama ifuatavyo - in order of importance:


  1. People's Performance
  2. People's Progress
  3. People's Prosperity

Ameshauri kwamba ili tuendelee, haya ndio maeneo muhimu kufanyiwa kazi, sio kubakia tu na People's Power, na kwamba kwa kufanya hivyo, tutaweza ingia mwaka 2025 kama taifa lililo piga hatua kimaendeleo i.e. taifa la Uchumi wa Kati – in terms of National Income;

Kwa maoni yangu, mtazamo wake ambao umeacha equation ibakie na suala la ‘PEOPLE' intact i.e. People wabakie at the centre, is very wise; Lakini pia wazo lake juu ya umuhimu wa kupanua dhana ya people into other areas is very innovative, hasa kwa kuweka suala zima la maendeleo liwe People Centered; Performance, Progress and Prosperity, haya yote ni more practical; People's Power is important but not sufficient;

Kama ambavyo tumekuwa tunajadili katika mada mbalimbali kuhusu Chadema kutojipanga licha ya uwepo fursa nzuri mbele yao, Chadema is falling short of kuelezea UMMA mpango wao wa Kati na Muda Mrefu ni upi, iwapo itafanikiwa kuingia Ikulu 2015; Maoni ya Prof Muhongo should serve as a wake-up call for Chadema; Chadema has to wake up and smell the coffee;

Kuingia Ikulu inaweza ikawa ni rahisi kama kutoka Ikulu 2020 if not before; Once You get into Power Through People, ni muhimu kuweka wazi masuala ya performance, ili iwe rahisi to track progress, kwani kwa kufanya hivyo, kutakuwa na prosperity, hence political Success for Chadema; Ni muhimu Chadema kujipanga, hasa kuchukau ushauri wa wadau mbali mbali na kuufanyia kazi, na kundokana na tabia ya kupuuza ushauri wa watu kwa hoja kwamba watu hao hawakuwepo wakati wa ujenzi wa chama; Chadema ita survive kutokana na nguvu ya watu waliosubiria kuona umakini wa chama kabla ya kujiunga nacho na sio vinginevyo, kwani wengi ya waliokijenga kufikia hapa kwa sasa wapo kwenye mfarakano kuliko kuimarisha chama;

cc: EMT, jasusi, jmushi1, bongolander, nguruvi3, mimibaba, jingafalsafa, jokakuu, mzee mwanakijiji, pasco, nasdaz, zakumi, blue ray, gedeli, kwame nkrumah; mkandara;
 
Huyu Muhongo anataka kujidai yeye ndio profesa tu hapa Tanzania, mjuaji sana anaongea baada ya kupewa ulaji, aeleze siku zote za nyuma ameifanyia nini taaluma yake kwa manufaa ya watanzania, sikuwahi kumsikia wanasubili wapewe ulaji then wanaongea kama kasuku for personal glorification.
 
Hujaiweka alivyosema yeye kasema people's power inachochea vurugu .......kasema juzi alikubaliana na ndugu zake watanzania wa Moshi kuhusu people's power vs aliyosema, hajui kuwa bila people's power leo asingekuwa waziri na badala yake angeendelea kugombania kiwanja kati ya yeye kama kiongozi wa kanisa la Mennonite na Nimrod Mkono , .......kule musoma ....

People's power itamtaka siku moja aeleze alipokuwa chief geologist wa nchi hii ramani alizompa Jimmy Sinclair zilikuwa na faida gani kwa taifa....

Anajua kuna siku people's power itamtaka aeleze faida tunayopata kutokana na sera ya gesi na mafuta ambayo imekopwa na imeandaliwa na wataalam (consultants ) wa makampuni ya uchimbaji na utafutaji wa mafuta na gesi kutoka Uk, usa nk.......atapaswa kuwa na majibu......

Kuna siku people's power itamtaka majibu i kwanini IPTL inauzwa bei poa kwa kampuni moja la mafuta .....ili liendelee kuuzia Tanesco umeme wakati pendekezo la awali lilikuwa mitambo hiyo inunuliwe na serikali ili kupunguza gharama za umeme .......

Ndio maana anataka people's power iepukwe......
 
Mod unganisha na ile ya ITV:

Ok anaeleweka kuwa mwisho wa siku people's - power iishie kuleta maendeleo (progress). Nakubali hili maana ikibaki tu power basi itakuwa kama vile wananchi tumetambua kuwa tuna nguvu halafu tukaishia hapo. Amenitia moyo katika mambo matatu:

1. Kuomba msamaha / kukiri pale serikali ilipokosea (Wizarani kwake). Mara chache tunawasikia viongozi wakiomba msamaha kwa wananchi au kikiri mapungufu au kusema waziwazi kuwa HUWEZI KUACHIA WAFANYABIASHARA PEKEE WAJIAMULIE MAMBO KAMA YA MAFUTA NCHINI;

2. Kusisitiza kuchapa kazi, kutatua matatizo na kupata maendeleo badala ya kulumbana au kusifu watu( hapa napo leo kuna mtu ataguswa kuwa anasemwa yeye?)

3. Kuwa na mikakati ya kusomesha vijana wa Kitanzania wawe na uweelewa juu ya rasilimali zetu kama gas , madini n.k na pia sisi wenyewe kuwa sehemu ya uchimbaji wenye hisa.

Safi sana;

Ukiniuliza swali, Je tuna unafuu leo kuliko tulikokuwa, nitasema ndiyo,halafu nitaongezea kuwa lakini hatujafikia tunapotakiwa kuwa hivyo tumpe muda na aendelee na moyo huo bila kukatishwa tamaa na mafisadi ili tufike tunapotakiwa kuwa.
 
Hujaiweka alivyosema yeye kasema people's power inachochea vurugu .......kasema juzi alikubaliana na ndugu zake watanzania wa Moshi kuhusu people's power vs aliyosema, hajui kuwa bila people's power leo asingekuwa waziri na badala yake angeendelea kugombania kiwanja kati ya yeye kama kiongozi wa kanisa la Mennonite na Nimrod Mkono , .......kule musoma ....

People's power itamtaka siku moja aeleze alipokuwa chief geologist wa nchi hii ramani alizompa Jimmy Sinclair zilikuwa na faida gani kwa taifa....

Anajua kuna siku people's power itamtaka aeleze faida tunayopata kutokana na sera ya gesi na mafuta ambayo imekopwa na imeandaliwa na wataalam (consultants ) wa makampuni ya uchimbaji na utafutaji wa mafuta na gesi kutoka Uk, usa nk.......atapaswa kuwa na majibu......

Kuna siku people's power itamtaka majibu i kwanini IPTL inauzwa bei poa kwa kampuni moja la mafuta .....ili liendelee kuuzia Tanesco umeme wakati pendekezo la awali lilikuwa mitambo hiyo inunuliwe na serikali ili kupunguza gharama za umeme .......

Ndio maana anataka people's power iepukwe......

Nilichofanya ni kuisogeza agenda mbele zaidi ili ijadilike objectively na kwa manufaa ya Chadema na taifa kwa ujumla;
 
Huyu Muhongo anataka kujidai yeye ndio profesa tu hapa Tanzania, mjuaji sana anaongea baada ya kupewa ulaji, aeleze siku zote za nyuma ameifanyia nini taaluma yake kwa manufaa ya watanzania, sikuwahi kumsikia wanasubili wapewe ulaji then wanaongea kama kasuku for personal glorification.

Maumivu ya ufisadi wa Mhando na maghabhachori wake yakikuzidi mwone daktari!
Kila siku jamaa anashusha kipigo kwa mafisadi kwa niaba ya wananchi. Ndio maana neno PEOPLE analikubali
 
kumbe kuna uzi mwingine juu ya suala hili, ni vizuri MODS wangeipeleka hii kule kwingine kama ulivyoshauri;
 
Maumivu ya ufisadi wa Mhando na maghabhachori wake yakikuzidi mwone daktari!
Kila siku jamaa anashusha kipigo kwa mafisadi kwa niaba ya wananchi. Ndio maana neno PEOPLE analikubali

Ahaaaa watu washakula wameshiba wamesaza, kinachoendelea ni usanii tu, sasa hivi mabwawa yote hayazalishi umeme, umeme tulio nao ni wa gesi na tunaonunua kwa kampuni binafsi so ulaji upo pale pale .
 
Ahaaaa watu washakula wameshiba wamesaza, kinachoendelea ni usanii tu, sasa hivi mabwawa yote hayazalishi umeme, umeme tulio nao ni wa gesi na tunaonunua kwa kampuni binafsi so ulaji upo pale pale .

Karne hii unaongelea kutegemea HEP basi utakuwa nyuma sana. Ni karne ya Energy Mix!!dada yangu. Kila mara mafisadi wakibanwa popote lazima tuone mapovu si ajabu! Si tu Tanesco bali hata kwenye TPDC n.k
 
Huwezi ukawa ccm ukafikiri tofauti na wenye ccm akina Nape na Mkama....yeye ameponda peoples power bila sababu,ni kama alitumwa aponde..hakukuwa na direct connection ya yeye kuzungumzia maandamano. Mleta uzi naona umeipamba kama vile aliongea kwa wema lakini hakukuwa na wema wowote
 
Mchambuzi,

People's power is about politics, about strategy and about social change. It is about winning concrete improvements in people's lives to toppling dictators. But people's power is more than just a set of civil-disobedience and direct-action tactics. It is a different understanding of power and a wide range of organising and tactics based on that understanding.

The conventional view of power sees some people holding power that the rest of us need to appeal to, influence, pressure or replace if we want to change things. Those in power want us to believe the conventional view of power; that we are powerless because they control the administration, money, police, military and the media.

In contrast, people's power sees power as a fragile relationship. Those in positions of power are dependent for that power on the compliance of the people they hold power over. When people organise themselves to withdraw their cooperation, the power holders' grasp on power begins to weaken and crumble.

When people withhold their co-operation and organise determined movements to intervene, they can assert their power and force changes or even remove those who refuse to make them. If people sustain their resistance, they can assert their power, force changes or even topple those in power.

This is not just a theory. It is a well developed method that has been used to topple authoritarian governments and winning major improvements in the lives of people for many decades. People's power is true democratic power, providing the basis for all citizens to participate in governing themselves.

As a leader of a popular movement you fight against tough adversaries who control the police, the army and bureaucracy and even the media. The only weapon in your hand is your strategic skill and ingenuity in carrying out the people's power. Thus, in order for Chadema to effectively carry out the people's power, it must be able to transform public anger into a coherent policy. If it succeeds, this insurrection will become more powerful.

The question is: are the people withholding their co-operation with the status quo? What is the Chadema's strategy in transforming the people's anger into a coherent policy? Are people angry in the first place?

Unfortunately, the majority of people are not really that angry yet. They're still sad with what is going in the country. Even, here at JF we read people expressing their sadness; praying for God to help solving their political problems. We are still waiting for that day when people will transform their sadness into anger.

A good example is what Mpaka Kieleweke said above: "Kuna siku [emphasis added] people's power itamtaka majibu i kwanini IPTL inauzwa bei poa kwa kampuni moja la mafuta." Mpaka Kieleweke is talking about "kuna siku", meaning the day when the people will be angry and ask him about IPTL. Not now, because they are still sad, but not angry, about the IPTL.

As Malcolm X said, "usually when people are sad, they don't do anything. They just cry over their condition. But when they get angry, they bring about a change." When people are angry, they won't even need Chadema to bring about the change they want. They will exercise their power aka sovereignty just like the Tunisians and the Egyptian did regardless of the might of the status quo. And, that is what people's power is all about.
 
Katika kipindi cha Dakika 45 Cha ITV leo usiku, Waziri wa Nishati na Madini Professor Sospeter Muhongo amezungumzia dhana ya People's Power ya Chadema na kusema kwamba, ametoa ushauri panapohusika kwamba PEOPLE'S POWER is very narrow and counterproductive in terms of socio-economic development in Tanzania; Hivyo amependekeza suala hili liwe broadened zaidi into other areas, without removing people from the centre;

Kwa nini asipeleke ushauri na mapendekezo haya kwa bosi wake wayaunganishe kwenye ilani ya ccm ya 2015? Au ni yale yale ya mtu mzima kuzungumza hata hoja asizozijua?
 
Hujaiweka alivyosema yeye kasema people's power inachochea vurugu .......kasema juzi alikubaliana na ndugu zake watanzania wa Moshi kuhusu people's power vs aliyosema, hajui kuwa bila people's power leo asingekuwa waziri na badala yake angeendelea kugombania kiwanja kati ya yeye kama kiongozi wa kanisa la Mennonite na Nimrod Mkono , .......kule musoma ....

People's power itamtaka siku moja aeleze alipokuwa chief geologist wa nchi hii ramani alizompa Jimmy Sinclair zilikuwa na faida gani kwa taifa....

Anajua kuna siku people's power itamtaka aeleze faida tunayopata kutokana na sera ya gesi na mafuta ambayo imekopwa na imeandaliwa na wataalam (consultants ) wa makampuni ya uchimbaji na utafutaji wa mafuta na gesi kutoka Uk, usa nk.......atapaswa kuwa na majibu......

Kuna siku people's power itamtaka majibu i kwanini IPTL inauzwa bei poa kwa kampuni moja la mafuta .....ili liendelee kuuzia Tanesco umeme wakati pendekezo la awali lilikuwa mitambo hiyo inunuliwe na serikali ili kupunguza gharama za umeme .......

Ndio maana anataka people's power iepukwe......
Duh!Huyu Muhongo kumbe naye mwizi tu na mtapeli wa kisiasa?Mbona walimsifia sana humu kwamba eti si mwanasiasa?Karibia niingie mkenge ati! Kongosho i blame you kwani niliamini kwamba huyu si mtu wa "mambo jambo",kumbe naye mtapta tu!
 
Last edited by a moderator:
Hujaiweka alivyosema yeye kasema people's power inachochea vurugu .......kasema juzi alikubaliana na ndugu zake watanzania wa Moshi kuhusu people's power vs aliyosema, hajui kuwa bila people's power leo asingekuwa waziri na badala yake angeendelea kugombania kiwanja kati ya yeye kama kiongozi wa kanisa la Mennonite na Nimrod Mkono , .......kule musoma ....

People's power itamtaka siku moja aeleze alipokuwa chief geologist wa nchi hii ramani alizompa Jimmy Sinclair zilikuwa na faida gani kwa taifa....

Anajua kuna siku people's power itamtaka aeleze faida tunayopata kutokana na sera ya gesi na mafuta ambayo imekopwa na imeandaliwa na wataalam (consultants ) wa makampuni ya uchimbaji na utafutaji wa mafuta na gesi kutoka Uk, usa nk.......atapaswa kuwa na majibu......

Kuna siku people's power itamtaka majibu i kwanini IPTL inauzwa bei poa kwa kampuni moja la mafuta .....ili liendelee kuuzia Tanesco umeme wakati pendekezo la awali lilikuwa mitambo hiyo inunuliwe na serikali ili kupunguza gharama za umeme .......

Ndio maana anataka people's power iepukwe......
Safi sana mwana PP. Kukataa People's Power ni dhana ya kogopa hiyo nguvu ya Wananchi.
Suala ni kuwa utawafikiaje wananchi? Hili linawezekana tu kupitia umoja wao wa kukataa dhuruma. Kukataa kuchaguliwa viongozi wabovu na kwa rushwa. Ni suala wananchi na UELEKEO WAO.

Tunajua kuwa lengo la msingi la chama makini ni prosperity to its PEOPLE. Huyo Prof wako asijifanye kufundisha watu na uelewa wetu. Tunajua yote hayo ndiyo maana tunapinga hizo asilimia 3 na 4 za kwenye madini ili kupata share kubwa itakayoleta ustawi yaani prosperity. Tunajua yote.
 
Umeona eeh! Badala ya kwenda kushughulikia matatizo makubwa yanayoikabili nchi yetu katika Wizara yake ikiwamo mgao wa umeme, mikataba ya uchimbaji wa madini ambayo haina maslahi kwa Watanzania na makampuni hayo ya uchimbaji kutolipa kodi sasa ameanza kupanda majukwaani kuhubiri siasa!!! Anaanza kufuata nyayo za msanii DHAIFU.
Duh!Huyu Muhongo kumbe naye mwizi tu na mtapeli wa kisiasa?Mbona walimsifia sana humu kwamba eti si mwanasiasa?Karibia niingie mkenge ati! Kongosho i blame you kwani niliamini kwamba huyu si mtu wa "mambo jambo",kumbe naye mtapta tu!
 
Kutegemea mabadiliko kutoka kwa yeyote CCM ni sawa na kujichimbia kaburi... Nyinyi endeleeni kuota tu! Wenzenu wanaendelea kubadilisha lugha na kuendelea kula
 
At least ameongelea capacity building manake watz wenye utaalamu wa gas na mafuta wanahesabika. Japo in the big picture tunajua kabisa kuwa tatizo letu sio wataalamu manake hata hao wenye utaalamu hatujaona walichofanya zaodi ya kutuuza mchana kweupe. Ila kila jambo lina mwisho wake, na mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Nilichofanya ni kuisogeza agenda mbele zaidi ili ijadilike objectively na kwa manufaa ya Chadema na taifa kwa ujumla;

Bahati mbaya CDM hawataki na wala hawako tayari kuckia ushauri wa wengine. Kwao people's means kuhakikisha kuwa wanampigia debe EL ili kulipa fadhila kwa misaada anayowapa. Pia kuhakikisha babu anakuwemo kwenye safari zote za nje ya Dar ili aweze kufanya mazoezi ya gaut huku wakimchagulia vichuchu vinavyojitokeza kwa lengo la kumburudisha baada ya mazoezi. Pia wanadhani kuwa ndani ya CDM hakuna mtu mwenye akili kuwazidi Slaa na Mbowe.
 
Mchambuzi,

..kwa uelewa wangu, Prof.Muhongo akiwa kama waziri hatakiwa kuanza ku-comment kuhusu programs/slogans za vyama vya siasa.

..mara nyingi tumeambiwa kwamba Prof.Muhongo siyo mwanasiasa bali ni mtaalamu. sasa haya masuala ya harakati za CDM huko mikoani yeye yanamhusu nini?

..juzi wabunge walipendekeza mawaziri wateuliwe toka nje ya bunge ili kuepuka tabia ya ukereketwa wa vyama. sasa tulitegemea Prof.Muhongo awe mfano wa zama mpya za siasa tunazozitarajia.

..inasikitisha, lakini siyo jambo la ajabu siku hizi kusikia watumishi wa serikali wanalumbana na wabunge na vyama vya siasa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom