Waziri Sitta amlipua Lowassa Bungeni

Waziri Sitta amlipua Lowassa Bungeni

kwa mimi namfagilia sana mh L.W ni mchapa kazi na mwenye kutoa maamuzi
 
Wallah akigombea kupitia cdm ataingia ikulu! Cdm mkaribisheni huyu jamaa ni jembe! Akichaguliwa atafanya kazi kwa nguvu zote kuprove kuwa yeye ni mchapakazi afu another advantage ni mzoefu serikalini na ataijenga cdm.
Acha unafiki mkuu,Cdm si Kimbilio la Mafisadi jiangalie sana na think twice of what ua saying
 
lowassa is the right man 4 the job wengine ni walewale JK type, na nyie mnaommpinda EL sijui 2015 mtajificha wapi atakapokuwa mteule wa CCM. Niko tayari kubet hata mke 2015 mgombea wa urais kupitia CCM ni Lowassa full stop
 
Is this a mere coincidence that most of those who speak well of EL have recently joined JF?? I wonder!!!!
 
Wewe umetumwa kuja kupima mawazo ya Great Thinkers,so ukamueleza huyo bwana Richmond kua kule kuna watu waelewa hatutaki kuckia habari ya huyu mwizi mkubwa ambae ana tabasamu la kinafiki machoni mwa waTz,nawewe utalaanika kushadadia UPUUZI kisa umepewa hela ulete hoja hapa Jamvini
wewe great thinker gani tena? Wakati humu great thinker hatufiki hata wa 3?
 
Kujiuzulu kwa Mwinyi na LOWASA vitu mbili tofauti .
Ya EL ni ya tuhuma za kifisadi inanuka wakati ya mwinyi ilikuwa makosa yanayo weza yakaitwa typing error.
La huyu jabali wenu halifanani kabisa na la mwinyi.
Mwinyi hakuwahi kuwa natuhuma za kiufisadi na kulingiza taifa katika hasara
Mkuu, hapa umakini ni muhimu hivi EL alikuwa waziri mkuu aliyestaafu au kujiuzulu??? kama ndivyo, nani miongoni mwa mawaziri wakuu wastaafu ktk Tanzania amekuwa rais ukitoa mwl???? TZ HAINA UTARATIBU WA ALIYEKUWA WMKUU AWE RAIS, JE UTAMADUNI HUO UTAANZA KWA LOWASSA????? watz si wajinga hivyo labda nchi hii ipate laana ya nabii Joshua!!!! people shuld btn the lines????
URAIS WA LOWASSA 2015 NI SAWA NA NGAMIA KUPITA KTK TUNDU LA SINDANO!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mmh sijui,unajua huyu jamaa huwa anafanya mambo yake underground. nadhani hii thread imeletwa na wapinzani wake,wanasoma upepo!
 
Mind you...kwanini huyu bwana amesahaulika mapema kiasi hiki...kwa kasi yake na kua mtu wa kumaanisha kile anachosema unadhani angenyoosha mikono mapema hivyo? Tena kwa tetesi? lol...siasa haina kanuni...ni fitna tu ndiyo inamng'arisha as well as kumshusha mtu!...mi ni mpitanjia tu!
 
kwa mimi namfagilia sana mh L.W ni mchapa kazi na mwenye kutoa maamuzi
Ni kweli ni mchapa kazi! Tena mwenye msimamo ktk kazi atakayo. Lkn cha kushangaza taifa ni kusikika aliingiza taifa ktk lile wimbi la Richmond mpk leo 2po gizani na kisa yote bado inamlenga. Mi naona bora ajiunge na CDM ndipo anaweza pata Urais 2015 tofauti na hilo hakika atasikiaga ikulu kwa maneno tu.
 
lowassa_232.jpg

Kama kawaida yao hawa wapuuzi, wakaja na kiroja kuwa Lowassa amejiuzulu kwa kashfa wenye upeo mkubwa hatukupata tabu kupangua hoja yao hii ya kipuuzi, nasi tukawahoji mbona hata Mwinyi alijiuzulu na baadaye akaja kuwa rais? hawakuwa na la kusema wakauma uma maneno kuwa Lowassa si chochote sasa just week iliyopita mwandishi maarufu Mayage kupitia gazeti la Mapinduzi Raia Mwema amesema waziwazi kuwa Lowassa yuko Km 200 mbele ya hao wenzake wanaoutaka urais kwa tiketi ya CCM!

Naona sasa mjadala umefungwa rasmi baada ya Lowassa kuitikisa nchi na kuwahakikishia wanasiasa uchwara kuwa yeye ni jabali lililojihakikishia tiketi ya kuingia ikulu mwaka 2015. Naam! Huyu ndiye Lowassa rais wa 5 wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!..Anayebisha na abishe tu ila let the truth be said Lowassa ni jabali linalotinga Ikulu ya Magogoni mwaka 2015 kwa ushindi wa kimbunga.

Kumbe kinachotafutwa ni urais! Afadhali mmeamua kutueleza ukweli kinagaubaga
 
lowassa_232.jpg

Kama kawaida yao hawa wapuuzi, wakaja na kiroja kuwa Lowassa amejiuzulu kwa kashfa wenye upeo mkubwa hatukupata tabu kupangua hoja yao hii ya kipuuzi, nasi tukawahoji mbona hata Mwinyi alijiuzulu na baadaye akaja kuwa rais? hawakuwa na la kusema wakauma uma maneno kuwa Lowassa si chochote sasa just week iliyopita mwandishi maarufu Mayage kupitia gazeti la Mapinduzi Raia Mwema amesema waziwazi kuwa Lowassa yuko Km 200 mbele ya hao wenzake wanaoutaka urais kwa tiketi ya CCM!

Naona sasa mjadala umefungwa rasmi baada ya Lowassa kuitikisa nchi na kuwahakikishia wanasiasa uchwara kuwa yeye ni jabali lililojihakikishia tiketi ya kuingia ikulu mwaka 2015. Naam! Huyu ndiye Lowassa rais wa 5 wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!..Anayebisha na abishe tu ila let the truth be said Lowassa ni jabali linalotinga Ikulu ya Magogoni mwaka 2015 kwa ushindi wa kimbunga.

Mkuu huyo Lowasa wako ataingia Ikulu kwa ticket ya chama gani? Kama ni CCM inakwenda kufa na tutaizika kabla ya 2015, kama CDM hatupokei mafisadi, labda ajaribu TLP kwani mrema sasa anaelekea mwisho wake.

Kwa kifupi Lowassa si jabali wala chochote. Halafu 2015 CDM ndicho kitachukua dola.
 
lowasa ni heri kuliko mwanaccm mwingine yeyote. kina sita ni wanafiki. membe anategemea huruma. tajeni jina lingine tuone. go el.
 
Kumbe Urais wa Tanzania unapatikana Nigeria na kwa vikombe vya Babu, Lowasa mjanja sana aligawa kikombe wamekunywa wapiga kura wake wote; niliandika hapa Mods wakatoa hiyo thread kazi kweni sasa.

Mods uchaguzi ukianza nirudishie thread yangu ya lowasa na Babu wa Loliondo
 
Back
Top Bottom