Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,217
- 128,978
Mkuu BAK, I though you belong to ma GT wa humu jf!. Hata baada ya kukueleza EL ni "sauti tuu iliyo nyikani", bado huelewi!.Povu linakutoka kwa kumtetea fisadi wako ili marashi atakayokuwa anajipaka atakapokuwa Ikulu yakurukie na wewe japo uambulie ukuu wa wilaya.
Hili la kuteuliwa DC nalo neno, ili niteuliwa DC itabidi kwanza niwe mwana CCM, mimi sijawahi kuwa mwana CCM, kwa sababu sijafikiria kuwa mwanasiasa!. Kwa vile siasa naziweza, nikiamua, naweza kujiunga chama chochote, naweza kujiunga CCM nikawasidia kuleta mabadiliko from within, naweza kujiunga Chadema, nikawasaidia kwenya "rapid response on damage control", naweza kujiunga NCCR, TLP, UDP au CUF, au 2015, naweza kusimama as an Independent Candidate na kushinda kuilaini Kinondoni wilaya ninayoishi, Kawe, jimbo ninalioshi, au Ilala nilikoanzia kazi na kuishi ten good years!. Yote haya "ni kama" nitaamua!.
Hata nikiingia CCM, kiukweli wa toka ndani ya moyo wangu, kwangu mimi U-DC sio dili kabisa!. Kama nimewahi kuwa "political Advisor" mahali, nikilipwa fungu nene tuu, lakini niliacha kwa kuboreka, na kuirudia fani yangu, sasa U-DC ndio nini kwangu?!.
Wengi wanaamini Pasco wa jf ni mtu wa njaa sana!, kiukweli mimi ni maskini jeuri, niko kama "kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!", nikimaanisha kama issue ni pesa, ningekuwa naogelea kwenye minoti!, lakini mimi naendeleza fani yangu japo ya kimasikini, lakini I'm doing what I love most!.
Pasco