Waziri Shonza na BASATA hiki Kiitikio cha huu Wimbo wangu ninaotunga kinafaa au nirekebishe?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,920
Kutokana na hali ngumu sasa kuzidi hapa nchini Tanzania Watu wengine wenye Vipaji vingi kikiwemo cha Kuimba tumeona sasa tutumie ' Talanta ' zetu katika Kupambana na Ukazaji wa Vyuma kwa kuamua Kutunga nyimbo kadha wa kadha ili tujipatie Vipato.

Wiki iliyoisha tu nasikia kuna Nyimbo kama 15 hivi zilifungiwa na leo pia nimesikia kwamba kuna nyimbo zingine kama 40 nazo zitaenda Kufungiwa mapema tu hivyo nami kama Mtunzi GENTAMYCINE kuna Wimbo wangu ambao tayari nimeshautunga ila Kiitikio chake ( Chorus ) ndiyo nataka niweke hapa hadharani ili Naibu Waziri Shonza na BASATA waweze kuniambia hapa hapa kama Kitafaa ili nikiache au nikifanyie ' editing ' kiduchu.

Kiitikio chenyewe kinakwenda ( chorus inaenda ) kama ifuatavyo.....

asikuambie mtu Ndizi iliyokaza ukiipika inakuwa tamu na kutekenya sana Kooni
asikuambie mtu Ndizi iliyokaza kuiweka mdomoni ni tamu hata kuliko asali au sukari gulu
asikuambie mtu Ndizi iliyokaza hata ukikosea na ukaikalia bado tu ladha yake haibadiliki
ndizi eeeeeehh....ndizi iliyokaza kunakotukuka ndiyo mpango mzima...ndizi eeeeeehh ndizi


Nayasubiri maoni yenu Waziri Shonza na BASATA kwani natakiwa kuingia Studio muda wowote kuanzia sasa lakini kwa mujibu wa Mtayarishaji wangu wa mziki ( Producer ) baada ya kumsikilizisha tu vipande vyangu na hasa hicho Kiitikio ( Chorus ) kaniambia huo Wimbo ukitoka tu na ku hit airwaves zote Tanzania na Afrika ya Mashariki yote basi GENTAMYCINE umasikini / ufukara wangu huu utakuwa Historia.

Nawasilisha.
 
Kutokana na hali ngumu sasa kuzidi hapa nchini Tanzania Watu wengine wenye Vipaji vingi kikiwemo cha Kuimba tumeona sasa tutumie ' Talanta ' zetu katika Kupambana na Ukazaji wa Vyuma kwa kuamua Kutunga nyimbo kadha wa kadha ili tujipatie Vipato.

Wiki iliyoisha tu nasikia kuna Nyimbo kama 15 hivi zilifungiwa na leo pia nimesikia kwamba kuna nyimbo zingine kama 40 nazo zitaenda Kufungiwa mapema tu hivyo nami kama Mtunzi GENTAMYCINE kuna Wimbo wangu ambao tayari nimeshautunga ila Kiitikio chake ( Chorus ) ndiyo nataka niweke hapa hadharani ili Naibu Waziri Shonza na BASATA waweze kuniambia hapa hapa kama Kitafaa ili nikiache au nikifanyie ' editing ' kiduchu.

Kiitikio chenyewe kinakwenda ( chorus inaenda ) kama ifuatavyo.....

asikuambie mtu Ndizi iliyokaza ukiipika inakuwa tamu na kutekenya sana Kooni
asikuambie mtu Ndizi iliyokaza kuiweka mdomoni ni tamu hata kuliko asali au sukari gulu
asikuambie mtu Ndizi iliyokaza hata ukikosea na ukaikalia bado tu ladha yake haibadiliki
ndizi eeeeeehh....ndizi iliyokaza kunakotukuka ndiyo mpango mzima...ndizi eeeeeehh ndizi


Nayasubiri maoni yenu Waziri Shonza na BASATA kwani natakiwa kuingia Studio muda wowote kuanzia sasa lakini kwa mujibu wa Mtayarishaji wangu wa mziki ( Producer ) baada ya kumsikilizisha tu vipande vyangu na hasa hicho Kiitikio ( Chorus ) kaniambia huo Wimbo ukitoka tu na ku hit airwaves zote Tanzania na Afrika ya Mashariki yote basi GENTAMYCINE umasikini / ufukara wangu huu utakuwa Historia.

Nawasilisha.
Hahahahaha mkuu umetisha
 
Hahahahaha ila we akili zako mungu mwenyewe ndiye ajuae jinsi zilivyo.... Kila la kheri
 
kwa mwenendo wa serikali hii kwa chorus hiyo utatupwa segerea

Jamani hivi mbona huyo Waziri mtajwa hapo juu na Watu wa BASATA hawanijibu? Naomba ushirikiano wao tafadhali nataka nirekodi haraka ili niweze kula Hela za Watanzania kwani kwa ' mistari ' iliyopo katika huo Wimbo na uhodari wa huyu Mtayarishaji wangu nina uhakika GENTAMYCINE umasikini bye bye. Ukiwa na Vipaji vingi raha sana hapa Town.
 
Hahahahaha mkuu umetisha

Vipi ' Chorus ' hiyo imekaa vyema Kamarada ( Comrade ) wangu? Najua matokeo ya Timu yetu ya Liverpool FC huko UEFA bado ni bila bila hadi sasa na inaenda dakika ya 39 kama siyo 40. Usijali tumeshapita mwana.
 
Hahahahaha ila we akili zako mungu mwenyewe ndiye ajuae jinsi zilivyo.... Kila la kheri

Watu wa humu msipochangamshwa huwa mnakuwa ' Wapweke ' sana na Mimi sitaki muwe mnawaza bali nataka muwe mnafurahi tu kwani maisha ni haya haya tu Kikubwa ni kumshukuru Mwenyezi Mungu na kuzidi kumuomba atupe afya njema, rehema, upendo na amani.

Vipi Mkuu hiyo ' Chorus ' yangu hapo juu haijabamba kweli ili niachie Kitu kianze kukamata sasa airwaves zote nchini?
 
Back
Top Bottom