Nimepitia mitandao mingi kuhusu kile kinachomtokea Mwanamuziki Diamond kwa kulaumiwa eti hakutenda haki kumtuhumu Naibu waziri Mh Juliana Shonza kwa kule kueleza hadharani kutoridhishwa na kufungiwa nyimbo zao ambapo pamoja na mengine Diaomond alilalamikia kutojulishwa na kuambiwa kwa njia rasmi za kiofisi kuhusu suala hilo na badala yake kulisikia kwenye vyombo vya habari.
Inasikitisha sana. Nani yuko juu ya sheria hapa ? Ina maana Diamond kama raia wa nchi hii hapaswi kulalamika hadharani kwa kuwa jambo linamuhusu Mh Waziri ? mbona yeye na wenzake nyimbo zao zilitangazwa kufungiwa hadharani na bila kuarifiwa rasmi ina maana mawaziri wao tu ndio wanastahiki heshima ?
Leo hii ukiwa waziri unataka uwe Malaika mdogo usujudiwe ? wapi wangesemea mambo yao na kusikika ikiwa chombo kilichotakiwa kiwateteee cha Omoja wa wasanii ndio kwanza kinajikomba kwa serikali ni wapi pengine ?
Diamond alieleza concern kubwa kuwa maandalizi waqnayoyafanya yanatumia gharama kubwa kwa nini kazi zao zinafungiwa bila kujali nguvu zao walizopoteza mara unastukinza waziri na vyombo vya serikali vinafungia tu ?
Juweni kuwa kuna mahali hakuko sawa, wasilaumiwe wanamuziki na kuwaacha BASATA KUTEKELEZA WAJIBU WAO WA UDHIBITI WA KAZI ZA WASANII HATIMA YAKE SERIKALI INAVURUGA NGUVU ZA WAJASIRIAMALI HAWA BURE. Kuna tatizo mahali kwa nini wasanii watumie gharama zao kubwa mpaka kufika mahala wakatoa nyimbo zisizofuata maadili kwa gharama zao halafu BASATA wanaponaje ? Mnaona ni sawa kweli ?
Diamond asionmewe bure alichokisema ni haki yake kusema na asiandamwe.
Ukiwa kiongozi unatakiwa uwe mfano wa wengine, Kama waziri Shonza hakuona busara ya kuwajulisha akina Diamond kwa njia za siri basi Serikali na yeye mwenyewe wasilalamike kusemwa hadharani. Ni hayo tu.
Kishada.
Inasikitisha sana. Nani yuko juu ya sheria hapa ? Ina maana Diamond kama raia wa nchi hii hapaswi kulalamika hadharani kwa kuwa jambo linamuhusu Mh Waziri ? mbona yeye na wenzake nyimbo zao zilitangazwa kufungiwa hadharani na bila kuarifiwa rasmi ina maana mawaziri wao tu ndio wanastahiki heshima ?
Leo hii ukiwa waziri unataka uwe Malaika mdogo usujudiwe ? wapi wangesemea mambo yao na kusikika ikiwa chombo kilichotakiwa kiwateteee cha Omoja wa wasanii ndio kwanza kinajikomba kwa serikali ni wapi pengine ?
Diamond alieleza concern kubwa kuwa maandalizi waqnayoyafanya yanatumia gharama kubwa kwa nini kazi zao zinafungiwa bila kujali nguvu zao walizopoteza mara unastukinza waziri na vyombo vya serikali vinafungia tu ?
Juweni kuwa kuna mahali hakuko sawa, wasilaumiwe wanamuziki na kuwaacha BASATA KUTEKELEZA WAJIBU WAO WA UDHIBITI WA KAZI ZA WASANII HATIMA YAKE SERIKALI INAVURUGA NGUVU ZA WAJASIRIAMALI HAWA BURE. Kuna tatizo mahali kwa nini wasanii watumie gharama zao kubwa mpaka kufika mahala wakatoa nyimbo zisizofuata maadili kwa gharama zao halafu BASATA wanaponaje ? Mnaona ni sawa kweli ?
Diamond asionmewe bure alichokisema ni haki yake kusema na asiandamwe.
Ukiwa kiongozi unatakiwa uwe mfano wa wengine, Kama waziri Shonza hakuona busara ya kuwajulisha akina Diamond kwa njia za siri basi Serikali na yeye mwenyewe wasilalamike kusemwa hadharani. Ni hayo tu.
Kishada.