Wajifunze kwa majirani zetu hapo Kenya. Tena hela zitapitia kwenye simu kama Mpesa na Tigopesa hivyo na wao watapata TOZO yao.Hii nchi ya ajabu ajabu tuu ma mtu yameishia la saba , they know nothing about real world , wanafkr kijiwe jiwe tuuu , fikra za WW2, huyo ndugurire amesoma lakini fikra za kijenkitile , huyo Wazir wa Fedha sjui hata anafanya nn , PayPal ninmfumo dhabiti wenye manufaa Kwa nchi zinazojielewa , anyway hope atasikia
Mh. Ndugulile tunaomba utusaidie kupata huduma ya PAYPAL katika nchi yetu.
Tunakukumbusha tu sisi vijana tusio na ajira itatusaidia sana hii huduma.
Una maana kutumia itakuwa ni hiyari kama kutumia mobile na kutuma pesa kwa ndugu na wazee? Yote hayo ni hiari na kila mtu analia kwa makato!Ije tu kutumia itakuwa ni hiyari kama chanjo vile.
Wakikata pakubwa lazima waambiweWewe ngoja tu, itakapoanza kupatikan ahuduma hii mtakuja kulia kwa makato makubwa!
Hivi unaweza kupokea pesa PayPal kwa ajili ya kununua vitu online kutoka kwa mtu mwingine ndani ya Tanzania?PAYPAL itasaidia vijana tujiajiri kupitia simu na laptop zetu.
Tunakuomba sana Mheshimiwa ujifunze kutoka kwa wenzetu Kenya.
hahah hawa viongozi chenga kweli yanSerikali ukiongelea PayPal wao wanadhani unaongelea uraia pacha.
Lunatic
B.O.T na Wizara ya Mawasiliano wakiruhusu itawezekana.Hivi unaweza kupokea pesa PayPal kwa ajili ya kununua vitu online kutoka kwa mtu mwingine ndani ya Tanzania?
Kweli mkuumzee wa tozo yuko bize anakwambia wanajiandaa kuleta tozo kwenye mitandao ya kijamii wakati vitu vya muhimu kama hivi ambavyo kimsingi vingeweza kuliingizia taifa hela nyingi sana kutoka mitandaoni wala hawalitilii maanani .wako bizy kunyonya watu kutoka kwenye hela ambazo sio za biashara . shame
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunaongelea forex kupokea hizi biashara za ndani Mpesa, Tigopesa, Airtel nk unapokeaHivi unaweza kupokea pesa PayPal kwa ajili ya kununua vitu online kutoka kwa mtu mwingine ndani ya Tanzania?