ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
Mshale Umerudi Nyumbani,ndio maneno ya Nape akimkaribisha Maharage Chande Mkurugenzi wa TTCL.
---
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amekaribisha Mkurugenzi Mkuu mpya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Maharage Chande aliyeteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kushika wadhifa huo hivi karibuni.
“Kipekee kabisa nikukaribishe ndugu yangu, kaka yangu, rafiki yangu, Maharage Chande. Karibu rasmi kwenye familia ya wanamawasiliano, najua umetokea huku, ni mshale umerudi nyumbani. Namshukuru Rais kwa uteuzi wako, karibu sana,” amesema.
Hayo yalisemwa leo Jumatatu Septemba 25, 2023 katika hafla ya utiaji saini hati ya maridhiano na hati ya mkataba wa nyongeza kwenye miundombinu ya mkongo wa mawasiliano kati ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na umoja wa watoa huduma za mawasiliano nchini.
---
Je ni kijembe au ni pongezi? Waswahili karibuni mdadavue.
Mwananchi
---
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amekaribisha Mkurugenzi Mkuu mpya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Maharage Chande aliyeteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kushika wadhifa huo hivi karibuni.
“Kipekee kabisa nikukaribishe ndugu yangu, kaka yangu, rafiki yangu, Maharage Chande. Karibu rasmi kwenye familia ya wanamawasiliano, najua umetokea huku, ni mshale umerudi nyumbani. Namshukuru Rais kwa uteuzi wako, karibu sana,” amesema.
Hayo yalisemwa leo Jumatatu Septemba 25, 2023 katika hafla ya utiaji saini hati ya maridhiano na hati ya mkataba wa nyongeza kwenye miundombinu ya mkongo wa mawasiliano kati ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na umoja wa watoa huduma za mawasiliano nchini.
---
Je ni kijembe au ni pongezi? Waswahili karibuni mdadavue.
Mwananchi