Waziri na Wizara ya Mambo ya Nje wanashindwa majukumu yao: tit fot tat na Kenya

Tit for tat is a failure in diplomacy

Mbona kuna nchi za Mabara mengine zimezuia Watanzania kwenda nchi hizo kwa sasa, lakini sisi hatujazuia watu wao kuja?

Tatizo tuna inferiority complex. Diplomasia yetu dhaifu!
Ukiwa very negative na kwako, pengine bila kuujua ukweli, hiyo complex inakuwa kwako.

Kama kuna wizara inaweza kujiamulia tu mambo ya kimataifa bila kushirikisha macho na masikio yake, basi ni ya kufutilia mbali na viongozi wa wizara husika kuwekwa kizuizini kwa uhaini.

Nchi yenye janga la corona, unayoizuia kuingia nchini kwako, wewe unaendaje kwenye nchi hiyo?

TZ ikiwaamsha walio wengi kuhusu hiyo project ya corona, faida iliyokadiriwa kupigwa na wakubwa itakuwa mashakani, Kenya inatumika sasa kutuzima na pengine sababu ya sisi kuvurugwa mazima.

USA alipokataliwa kuchukua eneo lote pale Drive inn, aliamua kuweka base yake ya kijeshi Nairobi tofauti na alivyotaka access mpaka msasani beach ili achimbe bandari kwaajili ya manuari zake za kijeshi kufika pale. Mtafute Keenja akupe hiyo kaifa.

Zile maiti za kuotwa barabarani ziko wapi? Hakuna mtanzania kiburi wa kifo au mjinga wa kihivyo.

Na mwisho jua hatutangaziwi rate ya vifo vinavyoripotiwa kwa siku, ni zaidi ya hiyo project corona, na mpaka sasa kidunia, sidhani kama inaingia hata 5 kubwa za zinazoua zaidi duniani.
 
Precision Air wana route Kenya.

Au wao sio waTZ?
Itakuwa wana kichaa hawa Precision air, january nimeenda Nairobi na hiyo ndege asubuhi, abiria tuko watano, tumerudi 11. Kama wanaendelea na route hiyo, bila shaka marehemu Mkapa aliwasema yeye pale jangwani
 
Ndio maana Mkapa aliwaita Marofa na wapumbavu, ukitaka Kabudi aende akawapigie magoti, kwanza wewe bado kinda ungelikuwa umejenga angarau banda ukapakana na jirani mkorofi usingekuwa unayasema haya, diplomacyia inafanyika Kwa mtu anayejielewa sio Kwa vichaa. Wewe imenizuia kuja kwako nawewe usije kwangu basi.
Hahaha labda wewe ni dogo.
Hivi naishi kwako?
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza
 
Back
Top Bottom