JW wenyewe wanawahofia TISS. Tiss ni chombo cha mtawala. Jw ni chombo cha wananchi.Ina maana TISS ni hatari kuliko JW?
JW wenyewe wanawahofia TISS. Tiss ni chombo cha mtawala. Jw ni chombo cha wananchi.Ina maana TISS ni hatari kuliko JW?
Hapo mbona hajachana? Yeye kasema hawezi kusema chochote mpaka DAB amruhusuMwigulu: 'Lazima tutoe fursa kwanza vyombo vilivyo chini yangu vifanye kazi kabla ya mimi kuzungumza'
Mwigulu:'Wanasema mbona sisemi juu ya kinachoendelea, hii ni Wizara ambayo siyo kila kitu ni habari, Wizara ina vyombo
Kakojoe Ulale Mimi ni Mtu Mzima Mambo yako ya kitoto Peleka FB huko!Unajua Maana ya "Awachana" lakini ?
Kama ni mtunMzima halafu umeandika Pumba kama hizo basi utakuwa Mtu Mzima HovyoKakojoe Ulale Mimi ni Mtu Mzima Mambo yako ya kitoto Peleka FB huko!
Matokeo yake sasa hivi kibao kimemgeukia yeye baada ya Vikosi vyake anavyoviongoza kubadili Chain of Command.Anachoweza mwugulu ni kutengeneza kesi za ugaidi na kuapia kutoa ushahidi mbinguni na duniani na ndo kisa pia cha kupewa cheo coz anaweza kwa ujasiri km bashite wa kutengeneza kesi za kuwaumiza wapinzani wa ccm
Mwigulu: 'Lazima tutoe fursa kwanza vyombo vilivyo chini yangu vifanye kazi kabla ya mimi kuzungumza'
Mwigulu:'Wanasema mbona sisemi juu ya kinachoendelea, hii ni Wizara ambayo siyo kila kitu ni habari, Wizara ina vyombo
Kama TISS pekee wanajua wewe umejuaje? Au Nawe ni TISSMnamwonea tu Mwigulu, hajui chochote kuhusu haya mambo. Haya mambo yanafanywa na kikosi cha siri cha ikulu, na hawalihusishi jeshi la polisi kwa vyovyote vile. Hata JWTZ hawajui chochote. TISS tu ndio wanajua yanayoendelea!
Sasa Mimi na wewe Nani anaandika Pumba JF we know your antics na wewe ni like merchant!Kama ni mtunMzima halafu umeandika Pumba kama hizo basi utakuwa Mtu Mzima Hovyo
Siku yakikutokea ndio utajua tuAseme nini sasa? Amwambie nani? Wizara ya mambo ya ndani ni sensitive sana haitaki mropokaji ni sawa na wizara ya Ulinzi. Watanzania wengi tumekuwa waongeaji sana, tunataka kulazimisha kila mtu awe anaongeaongea tu bila kufuata miiko ya kazi yake. Viva Mwigulu