johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,168
- 142,286
Nakusalimu kwa jina la JMT Dr Mwigullu Nchemba.
Kwa kifupi sana:
Naomba uitazame upya hii kodi ya kizalendo kwenye Sadaka zetu tunazomtolea Mungu mwenyezi kwa njia ya miamala ya simu hasa siku za Jumapili na kwenye mikutano ya Injili.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kwa kifupi sana:
Naomba uitazame upya hii kodi ya kizalendo kwenye Sadaka zetu tunazomtolea Mungu mwenyezi kwa njia ya miamala ya simu hasa siku za Jumapili na kwenye mikutano ya Injili.
Nawatakia Dominica yenye baraka!