Waziri Mulugo aumbuliwa na Sugu

Waziri Mulugo aumbuliwa na Sugu

Mulugo sijui bado anaendelea na ile biashara yake ya vibama aliyokuwa akiifanya kipindi akiwa mwalimu?

mwe vibama ha ha umenikumbusha mbali sina mbavu jamani JF mahali pa kuondoa stress
 
Amim Mulugo a.k.a Philipo Mulugo...!!! nchi hii haiishiwi na vituko. Naibu waziri wa elimu ameunga unga elimu na jina.
 
Hivi hizi tuhuma za kugushi jina mbona hatupati majibu yake. Heko Zimbabwe with Pemba.
 
Nguvu ya Sugu na Mlugo mkoani Mbeya ni sawa na kutumia kijiko kujazia maji kwenye Pipa. Mlugo Songwe anaabudiwa kama Mungu. Hata kabla hajawa Mbunge. Suala hapo ni busara tu. Sugu yeye CV YAKE YA SHULE IKOJE?
 
CCM wengi wamenunua majina ndo maana ni vihiyo hata kwa hoja zao.
 
Malumbano haya yananikumbusha mbali jamani, na hasa lile sakata la presentation ya Mheshimiwa Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi kama kibonzo kimoja katika moja ya magazeti ya udaku hapa nchini kinavoonyesha:
Mulugo in Action_5239514_orig.png
 
Ni matokeo ya matokeo mabaya ktk shule zetu.
 
Hawezi ng'olewa kwa vile kapewa. Mulugo headmaster. Ualimu uliupatia wapi?
 
"...anaitwa sugu,anaitwa sugu, sugu,sugu sugu..."
Vyombo husika vichukuwe jukumu la kulifuatilia hili likibainika lina ukweli hatua za dhati zichukuliwe vinginevyo ni aibu kwa Taifa.
Mpaka hapo alitakiwa ajiuzulu au athibitshe uhalali wa jina kabla siku hazijaenda sana.Mwaka huu ukiisha bila kufanya hivyo,na hakika atafika 2015
:nono:
 
Nguvu ya Sugu na Mlugo mkoani Mbeya ni sawa na kutumia kijiko kujazia maji kwenye Pipa. Mlugo Songwe anaabudiwa kama Mungu. Hata kabla hajawa Mbunge. Suala hapo ni busara tu. Sugu yeye CV YAKE YA SHULE IKOJE?

Acha kuwadanganya wanajamvi mi natoka jimbo la Mulugo/Amin, wananchi wake tumefika sehemu wala hatutaki hata kumuona mana kuna migogoro mingi ameshindwa kuitatua anafanya tu kazi za kitaifa kuliko ya kijimbo yangu macho 2015 sijui kama atarudi tena mana hapatoshi mpaka sasa unaibu utamponza
 
Aisee, this mulugo's issue is getting very serious now. Eeeh Amini? Aiseee!!!!
 
Mwehhhh!!!!!Bujibuji umenichekeshajeeeee !!!!!!umenikumbusha mbali kweli NA hivyo VIBAMA!!!!!tulivilajeee wakati tupo Loleza.....hahahahaaaa!!!!!!kweli JF is a stress free zone....LOL!!!
Loleza enzi gani? Za Mama Mosha, Machibya na Msyani? Mlinzi akiwa Kayange na Lori lenu la blue?
 
CV ya Mulungu aka Amim haioneshi kusomea ualimu.je kasomea wapi mpk ajiite mwalimu tena headmaster?
 
Nguvu ya Sugu na Mlugo mkoani Mbeya ni sawa na kutumia kijiko kujazia maji kwenye Pipa. Mlugo Songwe anaabudiwa kama Mungu. Hata kabla hajawa Mbunge. Suala hapo ni busara tu. Sugu yeye CV YAKE YA SHULE IKOJE?

Sugu hata kama cv ni ndogo, lakini ni ya ukweli...Mlugo na elimu yake ya kuungaunga hata watoto wasipofaulu mitihani mtamlaumu.!
 
Mulugo sijui bado anaendelea na ile biashara yake ya vibama aliyokuwa akiifanya kipindi akiwa mwalimu?

Nyee Mulugo ake igusa Vibama pede!!!
ha haaaa imekula kwa yeye haki ya nani...!
 
Kuanzia sasa Sugu amewaambia jamaa aitwe jina lake la ukweli "Amim" tuache lile la
Ukihiyo la Philip"
 
Mulugo hajawahi kuw aheadmaster. Alikuwa school manager wa Southern Highlands Secondary shule iliyokuwa inaongozwa na wahindi. Hata mkuu wa shule alikuwa mhindi. Mulugo alikuwa akisimamia ukusanyaji wa ada za watoto.

Haiko wazi kwangu n ini kilitokea baadaye akaanza kujiita mmiliki wa shule wakati taarifa zisizorasmi zinasema aliwafanyia mbaya sana wale wenye shule.

Nadhani katika kuboresha cv sasa kaeajibandika Headmaster ili angalau asomeke kitaaluma zaidi!

Mulugo ana udanganyifu mwingi lakini hata uwezo hana. Hata anaposema jambo la kawaida utaona kabisa kwamba sasa nug
 
Back
Top Bottom