njundelekajo
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 310
- 227
tanzania ni muungano wa zanzibar na tanzania sor ni zanzubar na pemba
Mheshimiwa Hamim Mulugu a.k.a Philipo Mulugo,hakuchaguliwa na wananchi wa jimbo lake. Kwa kutumia ujanjaujanja alipita bila kupingwa,inasemekana alitumia rushwa kuvuruga usajili wa wagombea wa vyama pinzani.Kama kweli kuna ukweli wa kufoji elimu na Majina kwa nini isiwe sababu muhimu ya kufungulia mashitaka mahakama kuu kuwa alidanganya umma juu ya elimu yake na kusababisha wananchi wampigie kura za ubunge kuwa ni msomi mzuri wa kuwawakilisha bungeni kumbe siyo kweli bali ni mburula tu wakawaida na hivyo kupokonywa ubunge na kukoma kabisa kugombea uongozi wa kuchaguliwa.?.Naamini tuanze mchakato na kama mchango wa kupata wakili naanza kujitolea ili Haki ya kuthamini Elimu ZA WATU ITAMBULIKE SIYO KUNUNUA VYETI KUPATA ULAJI KIULAINI.
Kweli Mulugo ni kilaza mwandamizi, nilimsikia siku moja kwenye redio ya vilaza wenzake ya clouds akielezea mpango wa ada elekezi kwa shule binafsi kuna mahali alitamka "lunch ya mchana " na "dinner ya jioni", nilichoka sana huyu ndiye Naibu Waziri wa elimu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wapo wengi wa namna hii wenye elimu za kuunga nasikia hata Dr. kigwa yumo
Mimi nilikuwa ni mchunga ng'ombe wa mama Machibya. Nilipata kakibanda kangu pale kwa kina Watende, wale Mabubu